Kwani ndoa ni gharama? Ndoa ni ibada ya Mungu katika Uislamu na ameweka masharti yake ili ikubalike.
Katika hayo masharti, gharama kubwa haimo! Kwahiyo usishangae mkuu, ndio utaratibu wetu kuoa kwa kiasi tulichokubaliana hata kama elfu 10.
Dah umeongea fact kubwa sana mkuu. Nimempambania mtoto wa bro ili nipate mtu wa kusaidiana nae tukikwama as a family.
Asee alivyotoboa akanipa kisogo mazima. Sikua nataka anisaidie bali ile imetokea una shida ya ghafla badala ya kuwacheki
washkaji, unamcheki dogo mambo yakitulia unarudisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.