Assalamu Aleikum, Tumsifu Yesu Kristo.
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania................
Nina imani viongozi mbalimbali wa serikali na wizara mbalimbali ni wafuatiliaji wazuri wa JF hivyo maoni yangu yatawafikia kwa njia hii niliyochagua. Kwa mara kadhaa tumekuwa tukishuhudia msongamano wa...
1: Yalipita majuma matatu tangu giza kutawala juu ya nchi, ndege na wadudu warukao waliruka kwa makundi ili kutafuta vijito vya maji ili kutaka kiu katika miili yao.
2: Nao wana wa nchi walikuwa wakimya tena wenye nyuso za kumpendeza BWANA, walikusanyika jioni moja na kupaza sauti zao kuelekea...
Habari za humu wadau, nahitaji msaada kwa yeyote mwenye kufahamu vyema lugha ya Kingoreme nahitaji kusaidiwa jambo dogo tafadhali.
Kama unafahamu lugha hii naomba msaada, lugha hii huzungumzwa hasa na wakazi wa Serengeti, Mkoani Mara.
Dunia inagua hakuna uzalishaji unaoendelea kwa sasa, watu wengine wameamua kujiweka ndani wenyewe wakihofia maambukizi ya COVID19.
Mawasiliano ni kati ya mahitaji makubwa sana ya Mtanzania ama raia yeyote yule katika nchi yake, nadhani ni muda wa haya makampuni ya mawasiliano nchini kuja na...
Hadi saa tano usiku simu yangu ilikuwa haina tatizo lolote na ilikuwa ikichaji vizuri tu ila asubuhi nimeiweka chaji ila haichaji nikapita humu jukwaani kuona kama nitapata uzi ulioelezea tatizo kama hilo ila sijakuta.
Sasa kila baada ya muda inatuma ujumbe kwenye screen kuwa"OTG CONNECTED...
Hebu leo wanawake semeni nyie mnasukaje maana kila wiki mnaenda salon kusuka ila huyu Harmonize ni zaidi ya miezi 6 tangu asuke ila nywele zake zina ubora tofauti na nyie tatizo liko wapi?
Kwanini msisuke kama Harmonize ili mpunguze matumizi ya mara kwa mara katika ususi.
Umejiuliza hadi sasa umeweka chanjo ngapi za magonjwa katika mwili wako?
Kwangu nadhani mara ya mwisho kupokea chanjo ilikuwa ni utotoni tangu hapo sitaki kuufanya mwili wangu uwe majaribio ya wanasayansi kwa chanjo za kila leo.
Majuzi hapa kulikuwa na chanjo ya homa ya ini sina mpango nayo...
Majuzi kuna wasanii wawili wa sanaa ya muziki wa singeli waliamka na akili za utotoni na kuzua taharuki mitandao. Huwa sina utaratibu wa kusifia kilicho kibovu na ikitokea nimesifia msanii kuwa kafanya vizuri basi ni kweli kwangu anakuwa kafanya kazi nzuri sana.
Tunajua muziki wa singeli...
Habarini wanamichezo
Poleni na pilikapilika za hapa na pale hasa hizi tunazokutana nazo kwenye soka letu hapa nchini. Mapungufu ya wazi kwa waamuzi yamegeuka kuwa ni kawaida katika michezo ya ligi.
Utata wa kusimamia na kutafsiri sheria za za soka bado ni kazi ngumu kwao, huwenda tunaweza...
Habarini wana michezo...
Ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara kwa sasa imesimama kupisha kwa muda mashindano ya FA/ASFC (AZAM SPORTS FEDERATION CUP)
Sasa kuna makosa ambao vilabu vya ligi kuu vinapaswa kujua kuwa vinafanya au kwa kujua ama kutokujua, mdhamini wa mashindano haya naamini ni Azam...
Takriban siku kadhaa kumekuwa na tatizo la Internet kwa upande wenu na muda unavyozidi kwenda inaonekana ni kama mmebweteka na mnaona ni suala jema tu.
Siku kama 4 zilizopita nikiwasha data kwenye kifaa changu husoma H+ au 3G na kubaki kuonesha O Bytes baada ya muda ugonjwa unaisha na hali hiyo...
Historia inaonyesha kwamba bara la Afrika lilitawaliwa karibia nchi zote na watu kutoka Ulaya pamoja na Uarabuni. Na kabla ya kutawaliwa walikuja Wamisionari ambao walileta dini ili tupate kujua neno la Mungu.
Kwa maana halisi ni kuwa Waafrika tulikuwa na mizimu yetu na hatukujua habari za...
Huwenda asijulikane kwa wengi kutokana na muziki anaofanya kupendwa na idadi ndogo ya watu ila kipaji halisi cha muziki kiko ndani yake.
Yamodo ni mwanamuziki wa dansi, kwangu mimi nilianza kumsikia mwaka 2015 kwenye wimbo wake wa "Nimezaliwa pekee yangu" hakika kwa mtu wa muziki mzuri hawezi...
Mwaka 2012 ulikuwa ni mwaka wa kihistoria kwangu mimi kama mtumiaji wa mitandao ya kijamii kwa kufanya maamuzi magumu ya kutumia mtandao wa JF. Awali nilisimuliwa na rafiki yangu mmoja wakati tukiwa chuoni habari za mtandao huu na kile alichokuwa anajua kwa wakati huo kuhusu JF.
Nakumbuka...
Habarini wana JF.
Poleni na majukumu makubwa ya kujenga taifa, nina suala nataka niwasilishe kwenu japo ni suala la mtu binafsi.
Neno langu siyo sheria hivyo sina maana kwamba nataka watu wabadili faragha zao lah! Nataka kuwasilisha kulingana na maono yangu.
Baadhi yetu tumepiga kufuli kwenye...
Habarini wanafunzi wenzangu!
Nilianza masomo ya awali mwaka 2012 baada ya jirani yangu mmoja kuniambia kuwa kuna shule moja nzuri sana hapa mjini, hivyo nasaha zake zikanivuta na kuanza shule ya sekondari (Jani la Furaha). 2015 nilipewa namba ya mtahiniwa na nikawa huru kusoma shuleni hapo hadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.