Habari za asubuhi wandugu poleni kwa majukumu ya hapa na pale Mungu atawapigania Siku yenu itakuwa njema kabisa.
Tuwaombee Dua wagonjwa wote waweze kupata nafuu na kurejea kwenye shughuli za kunufaisha familia.
Basi baada ya kutakiana Heri naomba leo nilete uzi ambao nitafundisha BBMA strategy...
Habari za leo wandugu!
napenda kushirikishana nanyi jambo moja ambalo yamkini wengine walishalizungumzia au wanalifanya lakini sio mbaya na mimi nikiligua kwa nafsi yangu.
kwa kipindi hiki cha sasa kumekuwa na wimbi kubwa la kukosa ajira na hivyo kupelekea mai9sha kuwa duni kwa baadhi ya watu...
Wakuu habari za jioni nitangulize shukrani zangu kwenu kwa sababu najua mtanisaidia katika hili
Simu yangu TECNO W5 ina matatizo yafuatayo
=Haiwashi WI-FI
=Haiwashi BLUETOOTH
=Haiwashi RADIO
=GPS location yake inaniambia niko manyara au wkati mwingine inanipeleka zanzibari na mimi niko Bagamoyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.