Search results

  1. Emmanuel180

    Ukishachaguliwa first selection diploma ukaendelea kua apply second selection inakubali

    Jaman et uki apply diploma first selection ujawa selected ukienda pale NACTE kwenye tovuti yao upande wa afya wanasema congratulations unechaguliwa chuo fulan Mimi kama sijaridhika naweza ku apply diploma second selection tena? Bila kuathiri first selection ile au hawawez ju request tena maombi...
  2. Emmanuel180

    Anayekijua hiki chuo Dar es salaam police academy

    Hellow kwenye hizi selection za diploma mdogo wangu kachaguliwa dar es salaam police academy medical lab hiki chuo kiko waaap kwa dar mwenye kukifahamu vip mazingira yake yanafana?
  3. Emmanuel180

    Chuo cha Police Academy Medical Lab kipo wapi?

    Hellow kwenye hizi selection za Diploma mdogo wangu kachaguliwa Dar es Salaam Police Academy Medical lab. Hiki chuo kiko wapi kwa Dar? Mwenye kukifahamu vipi mazingira yake yanafana?
  4. Emmanuel180

    Naomba kujua tofauti ya Radiology na radiograpy

    Guys kwenye application za chuo nimeona kuna baadhi ya vyuo vinatoa program ya radiology wengine radiograpy napenda kujua kama zina tofautiana nini hasa? Au ni moja tu
  5. Emmanuel180

    Hivi Mafuta huwa yanapandaje bei?

    Binafsi hua nashangaa sana sipingani na kupanda kwa bei ya mafuta lakini hua nashangaa mchakato unavokua Mara nyingi EWURA ndio hutangaza bei mpya lakini sijawahi kuona wakitangaza bei mchana mpya wanatoaga taarifa USIKU wa manane asubuhi unaamka unaambiwa tu mafuta yamepanda unaenda kununua...
  6. Emmanuel180

    Clinical Medicine na Nursing ipi bora?

    I want to know kati ya Clinical Medicine na Nursing ipi nzuri kusoma kwa wakati huu?
  7. Emmanuel180

    Hizi soda za bila sukari mbona zina sukari sasa?

    Eti jamani, haya masoda ya bila sukari mwenzenu nilifikiri hayana kabisa sukari Ajabu ukinywa hayana tofauti na yale ya kawaida au hii sukari wao wanaona ni ndogo mbaya zaidi watu wenye matatizo ya afya nao utasikia naomba hio bila sukari lakini leo nimekunywa moja naona haina tofaut na za...
  8. Emmanuel180

    Kwa GPA ya 4.7 Naweza kupata MD MUHAS au Chuo chochote cha hadhi ya udaktari

    Hellow naomba kuelewa hv kama nimepata GPA Nzuri ya 4.7 clinical Medicine naweza kupata MD Muhimbili au vyuo vingine vyenye hadhi nzuri? Au hakuna muongiliano kati ya CLINICAL MEDICINE na MD Degree?
  9. Emmanuel180

    Kuna Msichana ananichangamkia kama ananipenda ila nikimtongoza anakataa

    Bwana eeh niende moja kwa moja kwenye maada Unakuta kuna mdada unamkubali sana goodluck unakuta yuko charm yaaan mchangamfu akikuona lazima akutaje jina kwa bashasha may be let say jina lako innocent utasikia innooooooooo yaaan kawaida kukuita ita ila ukimbamba ukatia vocal ana piga chin...
  10. Emmanuel180

    Hivi jinsi ya ku apply diploma vyuo vya serikal ikoje

    Wakuu samahani Niko na dogo nataka kumfanyia application sasa naomba muongozo namna ya kufanya application kwa vyuo vyote serikal na private Je na apply kupitia NACTE au naenda kwa Chuo direct?
  11. Emmanuel180

    Mwaka huu nilivyojaribu

    [emoji3528]Dv Lottery [emoji3582] [emoji3528] Anuani za makazi[emoji736] [emoji3528]TAMISEMI[emoji3582] [emoji3528]sensa[emoji613]
  12. Emmanuel180

    Mwenye uzoefu na hizi kazi za kwenye nguzo Dar-es-Salaam

    Ebhan hapa Dar unaweza pita kwenye nguzo wamebandika tangazo la kazi mara nyingiiiiii mnooo mfano Ds max wanahitaji watu wa kazi wanakuandikia kabisa mshahara may be 275k nafasi za kazi zimegawanyika mfano. Ofisini Store keeper Usambazaji Udereva N.k Nataka kujua kwa wenye uzoefu wa hizi kaz...
  13. Emmanuel180

    Uzi wa matatizo kwenye application ya sensa na namna ya kutatua

    Wakuu nianze mimi apa nafanya sensa application lakn wananambia namba ya form 4 imekwisha Tumika lakin sikupata username na password kwa njia ya email na system inakubali mara moja tu naomba kujua kama kuna mtu kapata tatizo kama langu kalitatuaje?
  14. Emmanuel180

    Nilichokiona huko kwenye Dv programme lottery

    Ebhna kama mnavoona hapo picha hivi hua wanatumia category gan kufanya selection kwamba ni based on country yaaan kwamba wanafanya labda kila nchi ambayo ni eligible wana idadi fulan kutoka nchi hiyo au hua ni random sampling kwamba yawezekana mfano kenya wakawepo applicants lakn asiwe selected...
  15. Emmanuel180

    Wale wa DV program leo ndio siku ya kuchek entry status check

    Oyaa wale wa DV program green card lottery leo ndio May 7 ya kuanza kuchek entry Status for further processing Sasa mimi nimeandika yangu imeanza na 2023 inaniambia invalid hata ku process haitaki lakini nikibadili nikaweka 2022 ndio angalau hata ina process Sababu ni nini nimewahi kuchek sana...
  16. Emmanuel180

    Kuwa mwaminifu kwako mwenyewe

    Habarini ndugu wana JF niende moja kwa moja kwenye maada hapa. Wakati nakua nilizaliwa kwenye familia ya kawaida sana baba yangu alikua mwalimu mama alikua mjasiriamali One thing nili notice nikiwa shule niko mdogo nilikua nasikia hakuna kazi ya kijinga kama ualimu kwanza pesa hawana piaa...
  17. Emmanuel180

    Hela ya Zimbabwe

    Ndio hivo bhan
  18. Emmanuel180

    Stori ya binti: Usikate tamaa kwani Mungu hakati tamaa katika kukutetea

    Binti mmoja alikuwa akiendesha gari akiwa na baba yake. Wakiwa njiani ghafla mvua kubwa ikaanza kunyesha na kuleta tufani, yule binti akamuuliza baba yake, "Nifanyeje?" Baba yake akamwambia "endelea kuendesha" Magari yakaanza kusimama na kuegesha pembeni kwa kuhofia tufani ambayo ilikuwa kubwa...
  19. Emmanuel180

    Je, wajua haya kuhusu bwawa la Mtera?

    Je, Wajua? Mara ya mwisho Bwawa la Mtera kufunguliwa ili kuruhusu maji yapungue ilikuwa 21/3/2020 na haikuwahi kufanyika hivyo toka mvua za El Nino mwaka 1997/98 Je, Wajua? Ujenzi wa bwawa la Mtera ulianza enzi za Nyerere, mwaka 1970 na lina ukubwa wa 'catchment' kilomita za mraba 68000 Je...
  20. Emmanuel180

    Lazima kijana utambue mambo yafuatayo ndipo ufanikiwe

    Baada ya kumaliza Jan, utagundua 2022 haina utofauti wowote na 2021. Kila kitu kitaendelea kuwa kama kilivyokuwa, except ukibadilika. Sasa 2022 unapinduaje matokeo... 1/Kwanza niseme 95% ya vitu nitakavyoandika vinatokana na personal experiences, knowledge, research, observations and...
Back
Top Bottom