Wakuu habari zasaizi, naomba msaada juu ya faculties tajwa hapo juu.
Zinginezo ni Bachelor of Commerce in Banking and Financial services, Bachelor of Commerce in Tourism and Hospitality management.
Maswali yanayohitaji majibu ni:-
- Ipi faculty bora kati ya hizo
- Soko lake na uhitaji kwa...
Wakuu habari za wakati huu,
Moja kwa moja katika mada tajwa hapo juu. Naomba mnisaidie details za undani juu ya degree hii.
1. Inahusiana na nini?
2. Field zake zikoje?
3. Idara ambayo inahitaji wataalam wa degree hii?
Msaada wenu ni muhimu sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.