Haipo katika hali mzuri kwani Iligonga mti na kuharibika show ya mbele kioo na Rejeta
Sio Pickup Original Lakini imekatwa kwa ustadi Mkubwa sana na kuwa Pickup,
Engine ni Petrol main 3, Ina Distributor ya 'magneto'
Inatembea kwani iligonga mti Msituni umbali wa Km 64 kutoka kijijini Nanjilinji...
Kwa mimi Fundi Seremala naona kazi yangu na Kubet hazina tofauti
wacha niingie huku huenda nitapata maarifa ya kupoza machungu ya
mbao walizokamata Jana.
Wakuu nina shida ya Vifaranga, au bata mzinga pia ndege wengine wafugwao
majumbani lakini si Kuku,Kanga na bata wa kawaida. Wapi naweza kuwapata
na bei zao zikoje?
Mkuu uko sahihi binafsi niliwapigia simu dakika mbili baada ya tatizo kutokea lakini mpaka
leo VODA wameshindwa kunirudishia Tsh 38,000 tu. Kweli mfumo wao si nzuri sana wanatakiwa
kurekebisha ili mtu uweze kuthibitisha kama wanavyofanya TIGO.
Dah, kumbe ni wengi nilifikiri nikopeke yangu yaani hawa jamaa wa Voda sijui
vipi. Hata miminaambiwa nisichoke kupiga simu na mpaka sasa nimepiga zaidi ya mara 20
kudai shilingi 38,000 tu ambazo zilienda kwa wakala mwingine
Hata miminashangaa kwani sikuandika namba ya huyo wakala sijui...
Habari, nimetunga riwaya ambayo nategemea nitapata maoni yenu kwani iko mbioni kuchapishwa. Na hapa nimeona niwawekeeni kitabu hicho na nitarudi kupata maoni yenu baada ya kukisoma. Nategemea sana maoni na ushauri wenu wana JF wote ambao ni wapenzi na washabiki wa Riwaya. KARIBUNI.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.