Hii ni Esophageal Reflux Cough mostly inatokea watu wenye GERD
Tumia
Baclofen 5-10mg twice daily au
Gabapentin 300mg twice daily kwa 2-4 weeks unakua poa.
Baada ya shower apply Scaboma lotion mwili wote then baada ya 8-12 hours una wash off.
Unapply mara moja tu na unaweza kurudia baada ya one week.
Kama ikishindikana tafuta
Ivermectin 12mg mara moja unaweza kurudia baada ya 2 weeks
I know about provisional diagnosis and all that but haiwezekani everyday Tanzanians wana those three diseases.
That's why kila siku patients wana big issues wakija hospital wanataka kucheck those three things because they are conditioned to do so.
Yeah it's possible(although from years za treating sijawahi kuona) but from my practice Typhoid,UTI and Malaria ni vitu very rare sana
Tanzanians wanaumwa vitu tofauti kabisa na everyday wanaambiwa hivyo vitu vitatu
Kama una Anal Fissure
Tumia
Lactulose syrup 10mls mara mbili kwa siku ili kusoften stool
Topical Nitroglycerin 0.4% apply mara mbili
Sitz baths(Dettol 20mls kwenye maji ya uvuguvugu kila baada ya kutoka toilet).
Unaweza kutafuta Lidocaine ointment Kwa ajili ya maumivu
Questions
Ngozi ya viganja inababuka au inakua nyeupe kabisa?
Unafanya kazi na any chemicals?
Unatumia cigarettes?
Probably unaweza kua na Palmoplantar Psoarisis or pustulosis Raynaud's disease
You can use
Clobetsaol ointment apply twice in vaseline or Salicylic acid ointment apply twice...
That sounds like Meniere disease
Unaweza kutumia
Diazepam 5mg au Meclizine 50mg kwa vertigo/kizunguzungu
Then Use
Betahistidine(Betaserc) 8mg twice daily but hii inatakiwa kutumia kwa muda mrefu kuona mabadiriko atleast 8weeks
+Low salt diet + Bendrofulazide 5mg daily
Last resort ni Injection...
Okay then
Possibility ni
Migraine
Cluster headache
Nenda hospital but treatment ni
Vasograin(Ergotamine) 1.5mg au Sumtriptan 50mg + dawa yoyote ya maumivu kwa acute relief
Then
Sodium Valproate or Verapamil kwa prophylaxis ya another attack.
Regards.
I mean kama mtoto ametangliza miguu (Breech presentation) delivery inaweza kufanyika bila tatizo.
Sio kila mtoto aliyekaa vibaya anageuka before labor.
Hiyo sio TB ya mifupa
Probably ana vitu Kati ya hivi
Transverse Myelitis
Multiple Sclerosis
Brain Space Occupying Lesion
Anatakiwa kufanyiwa
Brain and Spine MRI
Lumbar Puncture for CSF Analysis
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.