Mi nadhani point ya 4 ina nguvu kuliko zote. The ART OF TALKING. Kwa kweli kwa wanaume wengi hili ni tatizo. Akikutana na mwanamke hajui azungumze kipi na kipi aache. Unakuta mwnamke anakuwa pissed off mapema kumbe mwanaume ni m2 mzuri 2.
Mi nadhani point ya 4 ina nguvu kuliko zote. The ART OF TALKING. Kwa kweli kwa wanaume wengi hili ni tatizo. Akikutana na mwanamke hajui azungumze kipi na kipi aache. Unakuta mwnamke anakuwa pissed off mapema kumbe mwanaume ni m2 mzuri 2.
Bodi ya utalii ikishirikiana na TANAPA wametoa matangazo kwenye TV na namba ya simu kama unapiga kwa kutumia simu.
Nimemuona Mzee Mwinyi kwenye Tangazo mojawapo akihamasisha.
Sasa sijui ulikuwa unataka matangazo ya aina gani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.