Wakuu habari,
Mpangaji mwenzangu amehama kisa shughuli zangu zinazoniingizia kipato zinamkera.
Nikawaida kukuta kwenye hizi nyumba za kupanga kukuta watu wakifanya shughuli mbalimbali za kuwaingizia kipato ili maisha yaendelee na kuweza kulipa kodi.
kuna wengine ktk hizi nyumba za kupanga...
Wanajamii Forum habari
Mguu wangu umeteguka naombeni ushauri nitumie dawa gani kama huduma ya kwanza, manaake nahisi maumivu makali sana nashindwa hata kukanyaga chini.
Msaada wenu ndgu zangu
Habari wakuu
Baada ya vuta nikuvute ya mimi na huyu binti nilietokea kumpenda sana, hatimae kanifungukia na kusema eti Hata kama tungebaki mimi na yeye kwenye hii Dunia abadani hawezi kuwa namimi kimapenzi.
Akaenda mbali zaidi na kusema kwamba yaani hakuwahi kunipenda hata siku moja ila tu...
Wakuu zasahizi?
Leo nimejikuta nakumbuka tukio, kisa kilichotokea miaka 20 huko nyuma ktk mkoa Fulani, huu mkoa ulitrend Sana kwa kuchuna ngozi za watu na kwenda kuziuza ili wawe matajiri kwani inasemekana ngozi ya binadamu Ina hela Sana ila sishauri watu wafanye hivyo kwani kilichowatokea Hawa...
Huyu mama wakambo simuelewi sijui tatizo ni Yale matakataka anayomiliki Mzee ndiyo yanamtoa Imani na kutaka kunitoa Roho, yaani huyu mama Shida Sana, ameshavunja mahusiano yangu Mimi na Mwanae wa kiume kwa kumwambia mimi eti nafuata matakataka ya yule Mzee na wasipokuwa makini nitawadhulumu...
Vipi mambo wakubwa, wana JF, vijana kwa wazeee
Ebhana leo nimekaa nimetafakari jinsi hii technolojia ilivyokua na kusababisha mambo mengi kuwa mubashara, sijui kama nitakuwa nimeeleweka na Mada yangu.
Anyway me Kuna watangazaji wengi sana niliokuwa nawafuatilia miaka hiyo ya nyuma wakati huo...
Wakuu nahisi msichana niliye wahi kuwa naye kwenye mahusiano then nikamuacha kuna michezo ya kiswahili kanifanyia.
Kwani baada ya kumuacha alinilaani Sana na aliniambia nitamkumbuka
Sasa mambo yamekua si mambo, kila msichana ninae kutana naye kimapenzi (sex) baada ya kumaliza sex napata...
Mambo zenu
Jamani Hawa wamiliki wa hizi hospital dhamira yao nini hasa au wanataka kutuua?
Kuna Mzee nilikutana naye zahanati ya serikali akidai yakwamba alienda hospitali ya private kupima maralia ila baada ya kufanyiwa vpimo akaambiwa Hana Malaria na ukicheki dalili zote za ugonjwa wa malaria...
Buheri mazee
Ebhana majuzi kati hapa nilikua napita zangu kandokando ya barabara kwambali nikaona gari imesimama nilivyoikaribia na kuanza kuipita ghafla ilitoka pisi kali Sana ikaniita"samahani kaka" nikasema bila samahani, Gari yangu imeisha mafuta na cjatembea na akiba hivi shell Iko wapi...
Mwimbaji wa nyimbo za injili Ambwene Obadia Mwasongwe hii Leo alipokua ktk kituo kimojawapo hapa nchini akifanya mahojiano na moja ya maswali aliyoulizwa nikuhusu taariza za yeye kushutumiwa amekufa alizipokeaje," nilipigiwa simu na watu wengi Sana ikiwemo mke wangu nabaadhi ya viongozi...
Service Road imekuwa parking ya malori ktk barabara ya Mandela road mpakani mwa Tabata Matumbi Hadi Buguruni ktk kiwanda Cha Murzah, wananchi watembea kwa miguu na waendesha baiskeli tunapata shida Sana.
Ingawa Kuna vijana wanajiingizia kipato kwa kulinda hayo malori lakini kwa namna nyingine...
Habari wanajukwaa
Kwanza nikiri kwamba sina maana nataka kuwaharibia biashara yetu ila kwa haya mnayoyafanya nidhahiri mnataka kujiaribia nyinyi wenyewe hasa kwa kuwatapeli wananchi maskini ambao tupo wengi tunatumia hivyo visimbusi vyenu
Startimes kumbukeni nyinyi ndiyo mlisababisha tukahama...
Wakuu habari
Huyu binti nahisi kaikosa ndoa, yaani ni zoezi simple lakini anashindwa kutekeleza, wakuu sikuizi watu tumeshtuka hatutaki kuoa mwanamke asiyezaa, nahisi huyu binti anataka kuzeekea nyumbani.
Inabidi tushtuke wakuu ndoa nyingi zimekosa mvuto kutokana na kukurupuka kuoa mwanamke...
Hayati Magufuli alikuwa mzalendo na anayejua nini maana ya uongozi Magufuli alitamani watanzania woote tuwe wazalendo na ndiyo maana hakutaka kuongeza mishahara ili fedha zitumike kujenga nchi.
Ukiachilia mbali yeye kuwa Rais ila alijiweka kama mwananchi wa kawaida hakupenda kujimwambafai...
Nakumbuka ilikua mwanzoni kabisa mwa utawala wake na tumbuatumbua yake kwa watumishi wavivu na wasiyo wawajibikaji.
Unajua mimi siyo muongeaji sana hata nikikukuta watu wanajadili hoja fulani huwa msikilizaji, basi nakumbuka kuna mahala nilikaa na siyo siri sikua mwenyeji maeneo yale, kuna...
Wakuu nimala kadhaa huyu dogo amekua akiniomba hela kitendo kinachofanya nifikirie pengine mume wake hamjari au vipi
Pia ukiangalia mume wake anapata mshahara mzuri tu mwisho wa mwezi na amemnunulia hadi simu zenu hizi za kisasa mnazoziita sijui smati foni
Sasa huyu mdogo wangu nashindwa...
Habari wana jf
Kadri siku zinavyoenda nimekua naiangalia hii tamthilia anayoicheza mdogoangu hapa Duniani bado inaniweka njia panda
Iko hivi, mdogoangu alianzisha mahusiano na mwanaume ambaye kiukweli hakumjua vizuri na niseme tuu hata yule Boy hakumjua vizuri dogo kutokana na muonekano wake...
Wakuu habari
Baada ya kuona uzi humu unaozagaa watu wakipeana mbinu za kupata usingizi mapema hakika nimesikitika sana
Mnajua kama usingizi ama kulala ovyo ni bomu ktk maendeleo ya kijamii na kitaifa kwa ujumla
Moja ya watu waliofanikiwa kimaisha wanasema usingizi ni moja ya kikwazo ktk...
Za sahizi wakuu,
Kumekua na tabia ya wazazi ya kuwafukuza mabinti zao kisa wamebeba mimba ambayo si nzuri kwakweli
Yaani unakuta mzazi anamtimua nyumbani mwanae kisa kabeba ujauzito kabla ya kuolewa, pasi na kujua ataishi mazingira gani huko aendako.
Mimi nasema msiwafukuze wanenu kwani hiyo...
Wakuu habari,
Hakika maisha yanabadilika kwakweli, kuna binti niliwahi kuwa naye kwenye mahusiano then yakavunjika na chanzo Niyeye ndiye alisababisha niyavunje, kama mtakumbuka niliwahi kuja na thread hapa iliyokua inasema" nilichokiona kwa x girl friend wangu"
Wengi walinishauri niachane na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.