Requirements: Android v2.1+
Overview: WhatsApp Messenger is a smartphone messenger available for Android, BlackBerry, iPhone, Windows Phone and Nokia phones.
WhatsApp Messenger is a smartphone messenger available for Android, BlackBerry, iPhone, Windows Phone and Nokia phones. WhatsApp uses...
Msijidanganye wadau,kwanza kua baba ake ni mzungu sio ishu,si kwamba kila mzungu anahela, pia kusoma i.s.t sio ishu. ukiwa bongo ada ya i.s.t ndio unaiona kubwa ila ukiwa ulaya hela ya ulaya kwa ulaya ni ndogo lakini ukiitumia bongo inakua ni kubwa. so baba ake anawezekana kua ni mtu wa kawaida...
Tatizo ya wabongo mnadanganywa sana, dola elfu tisa,mnazijua au mnazisikia????? wewe unadhani awarekodie wasanii wangapi azipate hizo hela????? Acheni kudanganywa china kuna rolex mpaka dola 300. pia vile viatu wanavyovaa kina uwoya na wema eti wanasema wananunua milioni moja au mbili waongo...
Hellow guys i reaquest adobe photoshop cs2 or 3 if some one has please share, Coz nimetafuta mpaka basi sijapata link inayofanya kazi so please if someone has it please share
Ili upendo uwepo kwenye uhusiano inabidi umpate mtu unayempenda na hasa mimaumbile. kila mtu anapenda jinsi mtu alivyo kuna wengine wanapenda wanene, wengine wembamba, wengine warefu na wengine wafupi. so mimi hulka yangu ili nitulie km maji ya mtungi inabidi nimpate mtu mwenye shape km huyo...
jamani shape ninayo itaka ni kama ya huyu dada hapa kama kuna mtu anamjua naomba data zake nimtafute, nitafurahi sana kwa msaada wenu. Huyu dada katulia sana
Dada nishaona wengi wenye shape, mwanamke akiwa na shape haiondoki hata akizaaaa mara mia, nishaona wengi sana na wengine wakizaa ndio shape zinazidi. kila mtu na hulka yake mimi mwanamke akiwa number 1 hua simpendi so hii ni hulka yangu
Kama hili jamaa halijasoma kabisa, nani kakwambia anashindwa kupata mademu?? mademu wapo kibao. na kama unafagilia wazungu huku tunawaona mavi tuu. ukienda club unajichukulia bila hata kutongoza, kama ww unawaona dili sisi tulioko huku hatuwataki. kisha mimi hapa sijasema nimeshindwa kupata...
Mimi ni kijana mwenzenu naitwa junaid, ni kijana mwenye asili ya kiarabu na ninaishi Uk. natafuta mchumba mwenye sifa hizi, hizi sifa ni muhimu sana maana mwanamke wa ndoto yangu nataka awe hivi :
1 ) mrefu
2)Rangi yoyote
3)kabila lolote
4)Dini awe mwislamu au kama ni mkiristo basi awe tayari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.