Mimi sina kundi hapa, unapojibu nijibu mimi na usinichanganye na mtu yeyote. Usiseme "ninyi" sema "wewe Gwalihenzi". Jibu hoja ya kurahisisha babu yako kuunga mkono makafiri dhidi ya muislam mwenzake mtwa Mkwawa! wewe muislam wa swala tano unaona ni jambo dogo tu au changamoto za ukoloni!
Changamoto za ukoloni zilimpofusha babu yako akaamua kuchangamana na makafiri dhidi ya waislamu wenzake! na wewe mjukuu wake unayeswali swala tano unaona nilo ni dogo tu na nisawa kabisa! au sheikh akipotosha historia unaona ni sawa kabisa na anastahili kuvumiliwa. Unaona raha sana kujikweza...
Kwamba kulikuwa na Tanganyika mwaka 1860 ni uongo wa kutosha ambao wewe unaushadidia kwakuwa umesemwa na Sheikh. Kwamba babu yako aliyetoka Afrika ya kusini na alitumika na Wajerumani kumuangamiza Mtwa Mkwawa ambaye alikuwa muislam mwenzake ni ukweli wa Historia ambao wewe hutaki kuusikia kwa...
Mohamed Said, hujawahi kuwa na hoja kwenye mjadala wowote, unachokiweza ni kujisifu na kujinadi tu. Wacha kupotosha Historia. Wacha kupandikiza uwongo na chuki zako.
Tatizo lako unaamini unaakili kuliko watu wote na hivyo unaamini kila unachoandika ni sahihi! ukweli hujui "Historical facts, unabeba opinions" na kutangaza kuwa wewe ni msomi uliyebobea! shit! wadanganye wasiokujua na wanaokuamini kama wewe unavyomwamini Shekh anayesema kulikuwa na Tangaanyika...
Mohamed Said, kwani hilo unaliona dogo? kwani kabla ya ukoloni kulikuwa na Tanganyika? kabla ya ukoloni wachaga, wanyamwezi, wazalamo, wamanyema, wamakonde, wahehe... walikuwa katika taifa moja? kwanini usizipe thamani taarifa sahihi za kihistoria? Kama watu weusi walikuwa wamoja kabla ya...
Huyu haijui Historia. Mwaka 1860 hakukuwa na nchi iliyoitwa Tanganyika. Tanganyika iliundwa na Waingereza baada ya vita kuu ya kwanza baada ya kuivunja himaya ya wajerumani iliyoitwa "German East Africa".
Loo! kunamijitu mingine huwa haioni aibu kuanika utupu wa mabichwa yao hadharani! bora ungekaa kimya kuliko kujipendekeza kwa hoja uchwara kama hizi. Hata unayemsifu na kumtetea anakudharau.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.