Mkuu usishangae hilo, inategema unamja nani na kwa nini, hujasikia wakuu wakihama na madereva wao? madereza wala si wa kati ni wafanyakazi wa chini...lakini wa 'juu' in their own right.
kale kainzi kamerudi kutoka kaliko ama bado? LOL
wenye akili zetu tumeshakuelewa, ni kutumia tu elimination method kujua kimebaki kipi!
Lakini haya ni matokeo ya kudharau wosia wa JKN! Tumewakaribisha wakati usio muafaka, wamenogewa, hawatak kuambiwa 'baasi jamani ebu muwaachie watoto kidogo'
Huyo ni mtaalamu wa mambo ya uchumi, zamani kidogo alikuwa mwenyekiti wa bodi ya madirectore wa ESRF, kisha akateuliwa kuwa mwenyekiti wa kuongoza tume ya kuratibu maoni ya watanzania kuhusu kuharakishwa kwa shirikisho la afrika mashariki, of which watanzania waliukataa huo mchakato, na nadhani...
swadaktaaa Kipanga apo kwenye frequencey of having sex...ni muhimu sana..actually it follows kuwa unavokuwa unapata sex mara kwa mara, kale kautaratibu ka 'kukojoa haraka' kanapungua na kwa hiyo wote mnaenjoy zaidi kwa sababu, katika hali ya kawaida ina maana utakuwa na uwezo mkubwa zaidi wa...
We all knew that this was coming....we still have a long way to go. What is the role of the so called G22? of course they cant do anything against the G8...and unfortunately India, Brazil, China and South Africa kind of agreed that 'no deal is a bad deal'....so back to square one.
tunawapa tu...
Ina maana yeye hakukopa shangingi? manake vigari hivyo risk ya ajali ni kubwa na isitoshe alikuwa anaendesha mwenyewe...huenda alikuwa na mawazo masikini or something...its so painful and sad to know that....
Ooooh nnoooo jamani hizi ajali mpaka lini? Its so scary!
RIP mpambanaji Chacha Wangwe! Poleni wana Chadema na wana Tarime wote!
Mungu alitoa na Ametwaa wote tupo safarini
Mimi hainingii akilini kwa alienda kukopa kwake in the first place!
So he should stop this crap about kwenda mahakamani..siasa zake za mahakamani tunajua ndo zinamweka mjini lakini kwa hili......of all the places akakope kwa RA hata kama ni mkopo binafsi? Au ana bad credit score?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.