Sukumagang shida,njaa siyo fungu lao,vikabila vidogovidogo ndo shida,vikipata madaraka ni kuiba tu
na kutudanganya eti TZ nchi maskini, Kasungura kadogo.
Kuna jamaa juzi maeneo ya Geita alikwenda kuhamasisha chanjo, alipoona hawamuelewi akatamuka 'mnang'ang'ania msimamo wa Magufuli,alishakufa hayupo'
Walimugombania Kama mpira wa Kona,akatolewa nje na hawakutaka awepo kabisa.
JPM anaishi mioyoni mwa watu.
Semina elekezi siyo suluhisho,enzi za Kikwete semina elekezi zilifanywa Sana tena kwenye hotel ya nyota tano ya Ngurudoto kule Arusha.
Kilichotokea baada ya maelekezo RICHMOND, ESCROW,nk.utafikiri semina hizo walielekezwa njia bora za kuibia Taifa. Na bado gharama kubwa ya kuendesha semina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.