Naomba kujua kama Kuna mtu ambaye anaweza kunisaidia niweze kupata maji ya hill litre moja maana kwa huku maeneo ya Mbezi mwisho yamekuwa adim Sana pia na Soda za Pepsi.
Kipindi cha nyuma hapa vilikuwa vinapatikana vyote hivyo ila kwa sasa vinapatikana kwa shida sana huku.
Nawasilisha.
Unaweza ukaamka zako asubuhi Saa kumi na mbili kasoro labda, ila kwa foleni ya pale kwenye makutano ya Gari zinazotoka na kuingia stendi ya daladala mbezi mwisho ni changamoto Sana.
Haswa hii foleni inachangiwa na Gari zinazoingia stendi ya Mkoa (Magufuli stand), serikali iangalie namna ya...
Kwanza kabisa, mapambano yaendelee siku ya kufanikiwa ipo tu, tusikate tamaa.
Mfano huu utajumuisha Biashara nyingi Sana, kwa hiyo wewe mwenyewe utakuwa unalinganisha na Biashara yako.
Naomba nianze na mfano wa Duka liwe ni la vitu ambavyo unaweza ukavitumia nyumbani kwa matumizi ya kila siku...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo nina ndugu yangu anatafuta kazi ya udereva wa magari makubwa ana Leseni pia anauzoefu wa kutosha kwenye hiyo kazi kwa zaidi ya miaka kumi (10) alikuwa anasafiri kwenda:
ZAMBIA Kwa kuchukua mizigo kutoka bandarini alafu anarudi na mzigo tena mpaka huku...
Kama kichwa cha habari kinavyoonekana hapo ,ni hivi najua baadhi ya watu wakisha pima HIV kwa Mara ya kwanza hata hawarudii tena ,siku watakayotaka kufanya mapenzi,.
hata kama ndio mpenzi wako unaye unamuamini kuwa yupo vizuri kiafya na ukiangalia una zaidi ya mwezi,.
Je, unamuamini sana kuwa...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu naomba msaada sehemu ambayo naweza fungua biashara ya CHIPSI na itaenda vizuri kwa kuzingatia wateja na location yenyewe ikoje
, sehem iwe ndani ya Dar es salaam.
"only the dead have seen the end of the war"
Huyo mtu atakuwa ana tatizo gani maana hatokwi na damu yenyewe kabisa siku za hedhi badala yake ni kama UCHAFU tu alafu ndani ya siku 1 au 2 tu imekata
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.