Search results

  1. Masterplan

    IRA AUTO SERVICE Ltd: Tunatoa huduma za kutengeneza magari aina zote, ushauri na tunauza vifaa pia

    Nipo maeneo ya huku kwenye ofisi zenu kwa hiyo nitapita hapo nione huduma zenu.
  2. Masterplan

    Ni kweli mtu analazimika kulipa 150,000 kwa wiki ili kufanya internship Kitengo cha Moyo cha Jakaya Kikwete (JKCI)?

    Hata kama sijui ila hiyo haiwezekani labda kama ni wizi. Au aseme ya nini hiyo.
  3. Masterplan

    Where are these doses going?

    Jiwe alikataa sisi kuwa Dampo Lao, ila ndio hivyo ukifanya hayo utaonekana hufai.
  4. Masterplan

    Mnaonaje ikatumiwa mbinu hii kuongeza siku za kuishi duniani

    Issue ni kuwa mwili utabaki nao hivyo? au labda ungeniambia tutafute namna ya kutokuzeeka ambayo ni kushughulika na Cell
  5. Masterplan

    Dar: Panya Road wajeruhi 19, Mtongani - Kunduchi

    Naona Hawa Panya Road ni Vyema Serikali pamoja na wananchi wake washirikiane kwa pamoja kuwadhibiti, yaani wakiwapata ni Vyema wapigwe mashine/Gun wafe kabisa ili wasilete vizazi vya hovyo huku mtaani, Mda mwingine inatakiwa kuleta maamuzi magum ili mambo yakae kwenye mstari. Plan ya kuwadhibiti...
  6. Masterplan

    Posts nyingi za kipuuzi za vijana wa Tanzania hasa Twitter zinaeleza tuna kizazi cha namna gani

    Nadhani ni Mda wa kuanza kuleta Solution Ya namna ya kutatua changamoto hii, Ambayo inaoneka kwa Sasa ni tatizo kubwa, ili tuweze kuwa na Taifa lenye mawazo ya kujenga zaidi kuliko kushinda mitandaoni siku nzima bila ya kuingiza kitu cha maana.
  7. Masterplan

    Neno uliloambiwa na unalikumbuka hadi leo na linakusaidia

    "Hela inatafutwa" Nilipokuwa chuo napokea boom na bado nikiishiwa naomba home sasa Aunt yangu akaniambia usione watu Wana hela tu ila hela inatafutwa, maana kwa kweli yupo vizur kiuchumi basi ndio hivyo.. Sasa naishi nikijua hela inatafutwa. Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
  8. Masterplan

    Msaada wa kupata maji ya hill na Soda Pepsi kwa bei ya jumla

    Sawa mkuu Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
  9. Masterplan

    Msaada wa kupata maji ya hill na Soda Pepsi kwa bei ya jumla

    Ni Kweli maana sasa hivi hata soda za Pepsi zinakuwaga adim sana Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
  10. Masterplan

    Msaada wa kupata maji ya hill na Soda Pepsi kwa bei ya jumla

    Inawezekana ila kwenye maji hapo inakuaje mkuu Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
  11. Masterplan

    Je, unajua kwanini Biashara nyingi zinafeli hali yakuwa msimamizi ni mwenyewe mmiliki?

    Natumia Apple punch mkuu Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
  12. Masterplan

    Msaada wa kupata maji ya hill na Soda Pepsi kwa bei ya jumla

    Naomba kujua kama Kuna mtu ambaye anaweza kunisaidia niweze kupata maji ya hill litre moja maana kwa huku maeneo ya Mbezi mwisho yamekuwa adim Sana pia na Soda za Pepsi. Kipindi cha nyuma hapa vilikuwa vinapatikana vyote hivyo ila kwa sasa vinapatikana kwa shida sana huku. Nawasilisha.
  13. Masterplan

    Foleni ya Mbezi mwisho Kwa mida ya Asubuhi.

    Ahsante kwa kuchangia, japo hiyo sio njia sahihi ya kutatua changamoto hii.
  14. Masterplan

    Foleni ya Mbezi mwisho Kwa mida ya Asubuhi.

    Unaweza ukaamka zako asubuhi Saa kumi na mbili kasoro labda, ila kwa foleni ya pale kwenye makutano ya Gari zinazotoka na kuingia stendi ya daladala mbezi mwisho ni changamoto Sana. Haswa hii foleni inachangiwa na Gari zinazoingia stendi ya Mkoa (Magufuli stand), serikali iangalie namna ya...
  15. Masterplan

    Motivational quotes

    .
  16. Masterplan

    Motivational quotes

    . ]
Back
Top Bottom