Naona Hawa Panya Road ni Vyema Serikali pamoja na wananchi wake washirikiane kwa pamoja kuwadhibiti, yaani wakiwapata ni Vyema wapigwe mashine/Gun wafe kabisa ili wasilete vizazi vya hovyo huku mtaani, Mda mwingine inatakiwa kuleta maamuzi magum ili mambo yakae kwenye mstari.
Plan ya kuwadhibiti...
Nadhani ni Mda wa kuanza kuleta Solution Ya namna ya kutatua changamoto hii, Ambayo inaoneka kwa Sasa ni tatizo kubwa, ili tuweze kuwa na Taifa lenye mawazo ya kujenga zaidi kuliko kushinda mitandaoni siku nzima bila ya kuingiza kitu cha maana.
"Hela inatafutwa"
Nilipokuwa chuo napokea boom na bado nikiishiwa naomba home sasa Aunt yangu akaniambia usione watu Wana hela tu ila hela inatafutwa, maana kwa kweli yupo vizur kiuchumi basi ndio hivyo..
Sasa naishi nikijua hela inatafutwa.
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Naomba kujua kama Kuna mtu ambaye anaweza kunisaidia niweze kupata maji ya hill litre moja maana kwa huku maeneo ya Mbezi mwisho yamekuwa adim Sana pia na Soda za Pepsi.
Kipindi cha nyuma hapa vilikuwa vinapatikana vyote hivyo ila kwa sasa vinapatikana kwa shida sana huku.
Nawasilisha.
Unaweza ukaamka zako asubuhi Saa kumi na mbili kasoro labda, ila kwa foleni ya pale kwenye makutano ya Gari zinazotoka na kuingia stendi ya daladala mbezi mwisho ni changamoto Sana.
Haswa hii foleni inachangiwa na Gari zinazoingia stendi ya Mkoa (Magufuli stand), serikali iangalie namna ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.