ila hii dunia watu wahuni sana,, halaf wakasaka waislam wa hukohuko ndo waende kwenye tukio baadae unataka kuunganisha dini kwenye bifu zako,
ila sielewi kwanini waislam wengine wanakubali kutumika hivi ili kuchafua dini wanayoaminishwa wanaenda kuipigania.
Dini ni ka sayansi fulani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.