Wewe tatizo lako linafahamika, unamatatizo na chuki ambazo ni zao la jinsi ulivyolelewa... Kama Makongoro tatizo lake ni pombe, basi asingekuwa anakunywa pombe angekuwa mtakatifu. Kwa uwezo wa kuongoza ni kiongozi ambaye akipewa nafasi atatisha..... Humfaham mtu unamwongelea kwa tetesi tu.
Kwa hiyo chuo hakitajengwa tena kyuba na kitahamishiwa Butuguri.? Ninachofahamu eneo lipo tayari na kuna wadhamini walishatafutwa na mbunge mzee mkono lakini mzee mkono amefanya ule mradi wa chuo ng'ombe wake wa maziwa. Kelele za chuo hiki utazisikia tu pindi mda wa uchaguzi ukikaribia.
Joseph Kizurira Nyerere ni nani katika nchi hii!?
1. Mwenyekiti wa vijana wa TANU taifa (KWA MAFANIKIO MAKUBWA SANA)
2. Mkuu wa mkoa wa kwanza wa mwanza
3. Mmoja wa waanzilishi wa JKT
4...........
angalia yasijekutokea ya mkapa hujui unauliza sio kubwabwaja...
Chama ni watu na sio mtu! na hata umaarufu wa mtu hupewa na watu kwa lolote special alilowafanyia hata kujitolea... ZZK sio siri wote tunajua kafanya mambo makubwa na kajitolea sana kwenye mambo mengi.... uwezo wake katika kutetea mambo ni mkubwa na vivyo hivyo katika kuharibu unaweza kuwa...
JK ana record ya pekee ni rais wa kwanza kuchaguliwa kwa asilimia kubwa (81%) kuliko wote, na pia ni raisi wa kwanza kuvunja record kwa kuchaguliwa kwa kura chache kuliko wote kwa kipindi cha pili(61%)...
my take.
trend hii inaonyesha uwezo wake, hata BWM persent ilipanda kipindi cha pili.
hiyo ya kuwa rais wa kwanza kuonana na obama, marobist walikula $500000 za kodi yetu. kweli rais tunae anahongo kuonana na rais mwenzake..... credibility=o%
wana jf ukweli ni kwamba hakuna zamu, urais wa tanzania sio zawadi na hajazuiwa mtu kutoka znz au bara kugombea, we mwaga longolongo tunakuchagua na angalizo kama znz watataka kupewa bure tutamaliza karne hajatokea huko......
nani kakwambia anataka serikali tatu!!! mbili matatizo kila siku kero za muungano, hapa tunahitaji serikali moja..... kama hakuna basi tatu impossible...
swala ni kwamba Hamad R katangaza nia ya kugombea ukatibu mkuu, kinachofanyika ni fitna tu. leo ndo mmeona anavuruga cuf?? na kwa nini wenzetu wapo so mean kwa maana kila mitafaruku ya kisiasa wanaongelea utanganyika na uzanzibar?? wanafikiri kujitenga ndo watatatua matatizo??? tusiwe tunatumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.