Waungwana naomba mnijuze uchunguzi wa kesi ya Mama Blandina Nyoni wa wizara ya Afya na mwenzake Jairo wa wizara ya madini na nishati maana sijasikia hatua zilizochukuliwa dhidi yao.
Ikumbukwe kuwa hawakuchagua kulelewa na mama tu kwani mazingira ndiyo yamewafanya hivyo. What if baba alikufa akiwa mdogo, alimtelekeza mama? Je hawana haki tena ya kuwa na mahusiano? Kama ana tabia mbaya si lazima ziwe zimetokana na nani aliyemlea. Tena wengi wao wanamaarifa na ujasiri kwa...
Wana JF naomba mnisaidie katika jambo hili, nimekuwa nikisikia watu wakatumia sana msemo huu kuwa ubaya hawakuzaliwa nao bali wamefundishwa na ulimwengu, je hii ni kweli?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.