Kuna kamtindo kameanza siku hizi hasa msimu huu sikukuu zinavokaribia makondakta wa mabasi ya Arusha Dar wanakataa kupakia abiria wa Moshi. Na ikatokea ukipanda wana kauli chafu za kukera. Kuna watu wengi wanaishi Arusha ila wanafanya kazi Moshi na wanategemea mabasi haya makubwa kuwahi Kazini...
Mlioko uwanjani au karibu na media tupia matokeo hapa
======================
Timu ya soka ya Yanga leo imefanikiwa kuifunga timu ya soka ya Mbeya City magoli matano kwa bila katika mchezo wa ligi VPL uliofanyika katika uwanja wa Uhuru Dar es Salaam.
Magoli ya Yanga katika mchezo huo...
Kulikuwepo na wito toka kwa Mgombea aliyeshindwa kuwa msusie kazi hiyo jana je mliitikia? Hapa kwetu ukisusia kazi tunakata jina tunaweka mwingine
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi serikali ipo wapi?
Mbona wapiga debe hapa stendi ya Ubungo wanabughuthi sana abiria? Wanavutavuta abiria wanashikashika akina dada wengine wezi. Unakuta mwingine mchafu anakuja kukungangania?
Naishauri serikali ya mkoa iwapige marufuku na kuwaondoa wote. Tuwe wastaarabu. Kila basi wawe...
Kesho tarehe 22.01.2017 utatafanyika uchaguzi mdogo wa ubunge jimbo la Dimani huko Zanzibar na Chaguzi nyingine kadhaa za udiwani. Mliopo kwenye maeneo husika tujulisheni hali ikoje na matokeo yanaweza kuchukua uelekeo upi?
Nawasilisha
Donald Trump: “There Is No Shortcut To Maturity, Africa Should Be recolonized.
Speaking yesterday in Nebraska, Trump said that Africans are slaves living like slaves in their own land yet they claim they are independent.
Trump was responding to a question by a South African journalist on...
Wakuu naomba mnisaidie tatizo la meno yanatingishika lakini hayaumi inaonekana yamelegea. Tatizo ni nini na dawa yake nini ili yawe imara tena? Wale mliozoea jokes na kejeli hebu mtulie nahitaji msaada
Nauliza tuu wako wapi watu waliolipua kabisa Olasiti na kuua watu? Wako wapi waliolipua mkutano wa chadema kaloleni na kuua? Ina maana muda wote huo intelijensia yetu imeshindwa kuwakamata na kuwafikisha kwenye vyombo vya haki?? Nisaidieni
Wana Jf,,
Ni dhahiri kuwa chama cha mapinduzi kipo kwenye hatua za mwisho za kuanguka, dalili zipo wazi kabisa.Migogoro na makundi ndani ya chama, kushindwa kutekeleza ahadi zao kwa wananchi, kushindwa kuisimamia serikali, kutumia mabavu ya polisi, JWTZ na TISS kukandamiza upinzani, kutumia hila...
Ndugu wana JF, Nimekuwa nikifuatilia kuhusu mchakato mzima wa upatikanaji wa katiba yetu mpya na sasa tumefikia kwenye hatua ya uundwaji wa mabaraza ya katiba ya kata,.Hapa ndipo napoomba msaada wenu kuhusu:
1.Muundo wa mabaraza haya upoje? kila kata ina idadi ya watu wangapi? na uwiano wa watu...
Kamishna Mkuu wa haki za binadamu katika Umoja wa Mataifa,Navi Pillay, amelaani mashambulizi mabaya yaliyofanyiwa watu wenye ulemavu wa ngozi au Albino nchini Tanzania ikiwemo mauaji ya mtoto mvulana.
Serikali inapaswa kukomesha mauaji hayo pamoja na unyanyapaa dhidi yao , alisema Bi Pillay...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.