Ukiambiwa kuna Reli inatoka uingereza kwenda ufaransa kupita chini ya bahari utaamini au ile inayotoka Hokkaido hadi Tokyo Japan utaamini? Think outside the box
China mtu anaanza nursery hadi anapata ohd lugha anayotumia kichina je sisi kuanzia cchekechea hadi phd tunatumia kiswahili kusomea? Kama jibu ni ndio sio lazima msomi ajue kingereza kama jibu sio msomi yoyote wa Tanzania lazima ajue kingereza
Hili swala mbona halieleweki? Gavana na katibu mkuu hazina wamehojiwa na mkuu Wa nchi wakasema hakuna upotevu wowote nna hazina ipo salama sasa wanahojiwa tena na nani na kuhusu mini??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.