minadhani pinda angekua komediani ingemfaa zaidi.hv haoni awamu hii ya 4 ni ouzo mtu.nini cha maana kinafanyika zaidi ya propaganda tu.hv mnafikiri bado mnaweza kutuchezea akili kama nyerere jamani ss tumeelevuka,na tunaendelea mkiongea mjipange.bora awamu zilizopita.mnaendesha nchi kishkaji.ila...
hiyo ni kweli kabisa hata mie inanikera sana,kwani duniani hapa kuna matatizo mengi mtu unaitaji kupata ushauri wa watu tofauti.matokeo yake mtu anakucrash kwa mineno ya kuumiza nafsi sana.jamani tutumie mtandao kwa manufaa ni kweli wapo watu wengi wanaitaji wapate wenza wema hivyo anahangaika...
nashindwa kuwaelewa baadhi ya wanajamii,hv mmejiunga jamii ili mkashifu watu kwa hoja zao au tusaidiane mawazo na ushauri.?nadhani tuwe waungwana kujali hisia za mtu si kashfa na kebehi.haina maana.tupeane ushauli wa maana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.