''...Natamani ninywe sumu nikafe tu maana mwanamke niliyekuwa na malengo makubwa Nate ndo huyo ananicheat na ndugu yangu...''
Kama wewe ni mtu wa ku-entertain mawazo ya namna hii, nakusahuri achana na mapenzi.
Namtakia afya njema na apone maradhi yanayomsumbua.
Upande wa pili; maisha aliyokuwa akiishi yanaweza kunyooshewa kidole wakati huu anapoumwa.
Ana video na picha kadhaa akinywa na akisifia unywaji wa pombe tena zile kali.
Lifestyle yake inawezekana sio sababu ya maradhi haya lakini kama...
Haya mambo ya miaka ya 2000 huko mzee.
Wakati huo ndio internet cafe zinaanza. Miaka hiyo email ni Yahoo na Hotmail.
Wazee wa zamani na maafisa wengi wa serikali wamelizwa sana kwa hii mbinu
Kampuni ya JEFAG Logistics iliyopo Kurasini Dar es Salaam imekuwa ikisababisha kero ya foleni kwa watumiaji wa barabara inayoelekea daraja la Mwalimu Nyerere (Daraja la Kigamboni) kutokana na mipangilio mibovu ya magari ya mizigo.
Muda wa asubuhi malori ya mizigo hujipanga barabarani karibu na...
Shule nzuri ila baadhi Walimu wanachanganya hasira za maisha na masuala ya shule.
Sio sawa kupiga watoto kwa hasira na kutumia viungo vya mwili wako.
Unampigaje mtoto makofi, ngumi na mateke?
Sio sawa,pazeni sauti kwa nguvu watawaumizia watoto hao na kuwatia ulemavu.
Hakuna unachojua na wala hukusoma hizo link.
Wewe source zako ni zipi? KBC Kenya au gazeti la Alasiri?
BBC ni tatizo, Al jazeera pia kwako sio source ya ukweli?
Unajua AL Monitor? Nayo pia sio source reliable.
Very unreasonable....
Hutaki hizo source weka source zako hapa, umebaki kutoa...
Kocha yupo sahihi sana;
Kama unakwenda AFCON kwa kushinda mechi mbili tu kwa kumfunga Uganda na Niger; na kutoa sare mbili , huku ukifungwa goli 4 na kushinda 3
Halafu unapangwa na DRC, Morocco na Zambia
Kwa ranking za FIFA zilizotoka Desemba 2023
Morocco nafasi ya 13
DRC nafasi ya 67...
Unajua tatizo lako ni kudhani tunabishana na kutokusoma.
Badala ya kupingana na takwimu zangu na wewe ungekuja na za kwako, ila kwa kuwa huna elimu( tofautisha kuhudhuria shule na kupata elimu hayo ni mambo tofauti) acha nikusaidie kidogo.
Pitia hizo link hapo halafu urudi tuendelee na...
Mpaka Januari 15 watu wapatao 24,000 walikuwa wamekufa katika Vita ya Israel na Hamas baada ya uvamizi wa Hamas;
Kati ya hao
1. Wapalestina 23,469
2. Waisraeli 1,200
3. Waandishi wa Habari 82 (75 Palestinian, 4 Israeli and 3 Lebanese)
4. Wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa 136
5. Watanzania...
Ilibaki kidogo sana niweke milioni kadhaa kwenye hili zao; uzuri ni kwamba mke wangu ni mtu wa kunusa hasara sana.
Akaniambia biashara ikishaimbwa sana ukae ukijua kuwa baada ya hapo ni maumivu tu.
Hakuna tatizo la kimaadili wala kidini hapo.
Huyo ni mama mkwe wako wewe sio mama mkwe wa kaka yako.
Hii dunia ukitaka amani lazima ujue kutofautisha vitu na kujua mipaka.
Hapo mama mkwe ni shemeji yako kwa upande mwingine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.