Gwala kwa wana Jf wote, matumaini yangu tuwazima wa afya. Kwawaliofikwa na matatizo mbalimbali katika maisha ninaendelea kuwakumbuka kwenye maombi. Just hold tight a little while, our God is almighty and faithful he is never going to let you down ,may you say Amen wherever you are .
Baada ya...
Habarizenu wana Jf matumaini yangu muwazima wa afya. Niende moja kwa moja kwenye topic . Hivi karibuni nime 'create' blog yangu ya extension ya .blogspot ,baada ya kupitia mchakato wa kutosha hatimaye ilifika sehemu ya ku submit url for indexing and crawling , nime google vyakutosha lakini...
Habari kwa kila mwana Jf anayepitia uzi huu, matumaini yangu ni kwamba m/Mungu anawasaidia, kwa wote wenye matatizo nawaombea kwa m/Mungu awatue mizigo mliyonayo.
Nikienda moja kwa moja kwenye lililobileta humu, kwa kipindi chote tangia nimeanza kupiga windows kwenye Pc ni mekuwa nikitumia...
Aisee salaam,
Habari za Jumapili wadau. Niende straight to the point. Mbeya baridi ni kali kweli kweli. Nipo hapa maeneo ya juu kidogo hivyo ninaipata baridi kinyama. No wonder Mbeya na Njombe wana watu wengi walioathirika.
Salam wana jamvi, wa thread ya elimu.
Going straight to the point, mmi ni first year nasoma BEE Bachelor of Electrical and Electronics, lakini shida ni kwamba naona kama mambo hayaendi kwani kiukweli lecturers wetu kufundisha ni mzozo.
Na sina guidelines zozote za vitabu vya Electrical zaidi...
Habari za kutwa wana Jf, yawezekana wewe Kama watu wengine wengi umekuwa ukitazama Hollywood movies za agents mbalimbali wa CIA, na ulivutiwa na uwezo wao wa kufikiri kutenda na ku "imagine" ,ukuiishia hapo Kila unapokaa kwenye kijiwe(Nina Imani baada ya kazi) pale ambapo mada kuhusu uwezo wa...
Habari zenu wanajamvi, awali ya yote namshukuru Mungu kwa kunipa uhai....
Going straight to the point,. Hizi siku chache almost (22+days), baada ya kuwa na almost same routine nnapokaribia kulala nimegundua Jambo moja kwamba, kuna possibility kubwa tunapolala tunaingia kwenye ulimwengu wa wafu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.