Umeshawahi kusikiliza wimbo wa Prof. J 'Ndiyo Mzee'.
Aliandika mashairi yake mazuri kama-Yeye ni mteule aliyetumwa na Mungukuikomboa TZ,atafungua account kwa kila mtoto mchanga,mabaamaid watamiliki Benz,Askari watatumia helkopta,wakulima wote watatumia matrekta,wanafunzi practical...
Watu huwa wanachoka ndugu.Si kweli kwamba pale ni sehemu ya watu kuzomewa.Kabla ya aliyezomewa kuingia ukumbini,waliingia wengine kama Prof.. watu wakapaza sauti za kushangilia na sio kuzomea.hivyo uone kuwa sio darasa la kuzomea lipo hapo UDSM ila ni akili yenye uwezo wa kuchanganua na kuamua...
Hii Sentensi atakuwa alipewa tangu juzi au jana kwamba kwa kusema UDSM imempa hicho cheo,wanazuoni watashangilia kuwa wanamtu wa kwao.Pole kwake,maana jambo usilolijua ni kama usiku wa giza!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.