AFRICA ni nani atatuokoa kama 2nafurai kifo cha gaddafi 2na twalipokea kwa mikono miwili. hawa watu weupe si wenzetu leo 2narukia kuwafurisha but i blv next generation watapata shida sana kwani kila kona 2nazidi kuwekezwa
nadhani ni muda mwafaka kwa wanaafrica wote kwa ujumla wake kusikitika coz 2mepoteza kiongozi mwenye ujasiri wa kusimamia kile anachokiamini ni sahii licha ya mazingira kuwaje. suala la kuuwawa kwa gadaffi c la kufurai hata kidogo kwani kwa kufanya hvyo 2nazika uhuru we2 na kukaribisha ukoloni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.