Mwanasiasa huyu kutoka visiwani aliwahi kushika wadhifa wa juu kabisa katika Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar alipoteuliwa na Rais Aman Abeid Karume mnamo mwaka 2000 kuwa Waziri Kiongozi wa SMZ akiwa na umri wa miaka 38.
Mnamo mwaka 2010-2015 aliteuliwa na Rais Jakaya Kikwete kuwa mbunge (wa...
Nawapongeza TFF chini ya uongozi wa Rais Malinzi kwa uteuzi wa Katibu Mkuu mpya wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Celestine Mwesigwa.
Ni matarajio ya wanasoka hapa nchini Kuwa Mwesigwa utatumia ueledi wako na uzoefu ulio nao kukuza na kuendeleza mchezo huo pendwa wa kambumbu. Hongera MWESI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.