HEMED ALLY, MAMLUKI ALIYEPENYA KAMATI KUU.
Ni vema kama vijana wa chadema tukajifunza katika historia na tukafanya chaguo lisilo na shaka kabisa.
Hemed Ally ni mtu wa karibu zaidi na mzee Lowasa tokea akiwa rais wa IFM. Amefadhiliwa na Lowasa na system katika kila namna.
Katika hatua yake ya...
Ni Mbowe huyuhuyu anayenyanyaswa na DC wa Hai?
Ni Mbowe huyuhuyu aliyewekwa ndani zaidi ya miezi 3 bila dhamana?
Ni Mbowe huyuhuyu aliyevunjiwa Bilcanas na kuharibiwa Mashamba?
Ni Mbowe huyuhuyu anayeshtakiwa kwa mauaji ya Akwilina?
Ni Mbowe huyuhuyu ambaye ameua na kutisha Wapinzani wake na...
Wengi ni wamiaka ya 1985____so hao wa nyuma wengi ni damu ya kijani ni vigumu kutambua Tupi ni yupi hiyo ndio inatufanya kuwaacha ambao wamekwisha jipambanua.
Acha kutulazimisha kumpumzisha mchezaji ambaye hajachoka ili tumjaribu wa bench, chadema haipo ktk hali mbaya ila siasa ya tz ipo ktk hali mbaya cyo kwajili ya ccm imara ila kwajili ya ukandamizaji unaofanywa na vyombo vya dola kama polisi.
Hatubadilishi mchezaji anayepaform uwanjani kumjaribu wa bench bila sababu labda aumie, mbona hawa watu chadema wanawagusa kuliko Mrema na Lipumba pia Cheyo nilioanza kuwasikia tangu nakua? au hao ndio mnawamudu kwajili ya njaa zao?
Kuhusu usultani wa viongozi, hii inatokana na malengo ya kiongozi, hali ya siasa na msimamo wa kiongozi kwa serikali ya ccm, kiongozi akiwa laini ccm watamuunga mkono hata kwa nguvu ya polisi kama lipumba, na hapa wanachama wanyemsimamo ukihama chama, kwa upande was kiongozi asiyeiunga mkono...
Watu makini wataendelea kubaki Chadema hilo halina shaka, hakuna aliyengangania madarakani ila ataongoza atakayechaguliwa na wengi no matter ni awamu ya ngapi ccm punguzeni woga, na kutokana na hizi kelele zenu ni muda sahihi was Mbowe kuendelea tena, cyo cyo muda wa kuwaletea watu kama Lipumba...
Katika hali ya siasa inayoendelea nchini, tunahitaji viongozi makini na walio tayari hata kufa kwajili ya chama, Leo sitaabdika mengi ila nitatoa mtazamo wangu katika ngazi za uongozi kitaifa.
Halimashauri kuu ni eneo ambalo bado Mbowe anahitajika sana akisaidiwa na watu makini kama Lisu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.