Unamfahamu kwa upande mmoja kwa upande mwingine ni mbunifu wa migogoro.anatofautiana na wasomi wengine kama prof Lipumba ,mwandosya na wasomi wengine ambao zaidi ya siasa za projo taaluma zao zinasaidia sana ktk maendereo.hajawahi hata kuotesha walau mti kwa maendereo.
Chadema wanaogopa kurudia uchaguzi arusha kwa sababu kubwa mbil 1;ilikuwa ni mapema mno kurudia uchaguzi kabla hawajaenda kuwapigia magoti wahisani wa nje kuomba mabilioni ya pesa ili wachakachue nakudanganya kuwa ghalama za kurudia uchaguzi zimetokana na michango ya wananchi.na mabilion hayo...
Huyo jamaa ameona hana sababu ya kuendelea kuidhurumu nafsi yake kwa kuwa ktk chama chakizushi kinachoeneza uchochezi kila kukicha kulaghai wananchi kila siku,hakika huyo ni mzarendo wa kweri anayeipenda nchi tz
Wasomjua dr slaa wanitafute,sisi huwa tunamwita slahama ,maaana yake ni aina ya wazimu ktk lugha ya kwao .kwasababu ya kuzusha mambo na kuchonganisha jamii.na kumbuka kisa kimmoja aliwahi kuzusha karatu kuhusu maji,watu wakataka kuuana mungu kaweka mkono wake.hatufui mtu huyu hata kidogo.ebu...
Hongela sana nape kwakutuweka wazi,hakuna mzarendo wa kweri asiyejua kuwa migogoro tunayoishuhudia ktk mataifa mbalimbali inatokana na uchochezi wa mataifa makubwa,Cdm mnakataa nini hamjawahi kufadhiriwa na mataifa makubwa?.mabilion yao mtayalipaje kama sikutumia rasilimari zataifa pindi...
Hapa Dr slaa anajitetea inaonekana kuna kuna jambo NAPE AMEWAGUSA.JE kama kweri Mnachukua mabilion nje ili mchukue madaraka 2015 ;Mkishaingia mtayalipaje ?.kuna biashara gani ikulu?.na kwa nini unasema uutashinda uchaguzi wakati bado muda wake ?.kama Nape kasema uongo kwanini msimshitaki kwani...
Mi namshangaa sana ,si kazi ya serikali ya kuhesabu waumini wa madhehebu.kama anataka kujua waislam wako wangapi waanzishe daftari la kusajiri waumini wao kama wanavyofanya wa materialistic na mambo ,ambao wana record ya toka mika 2012 iliyopita.wao wakisha kubatiza wanatunza kumbukumbu ambazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.