Habari wakuu zangu.
Naomba niwe wa kwanza kuwatakieni wote heri ya Sikukuu ya Christmas na Heri ya mwaka mpaya 2022. Mungu wetu aendelee kuwalindeni nyote tuvuke Salama.
Ni hivi, nikiamshwa usingizini nikaulizwa ni nani Baba wa Taifa bila kusita nitasema ni Mwalimu Julius Kambarage Nyerere...
Habarini wanajamvi
Ninaitaji eneo lililowazi na kubwa la kukodi Jijini DODOMA preferably maeneo ya Uzunguni (kuanzia maeneo ya NHIF mpaka Dodoma Hotel)
Liwe na sifa zifuatazo:-
1. Lifikike kwa gari
2. Lipo ndani ya fensi.
3. Halina mgogoro
4. Liwe wazi ndani au liwe na simple structure (kama...
Habari za weekend ndugu zangu.
Mwezi June-July mwanzoni nitahost vijana kama 9 wa kidato cha 4 kutoka kijijini kwetu ambao niliwapromise kuwasaidia waweze kufanya vizuri zaidi kwenye mitihani yao ya form 4 mwaka 2021. Natamani sana kulifanya zoezi hili kwa ukamulifu nione kama linaweza...
Habari za weekend JF members.
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada.
Kwa wale wenyeji wa Jiji la Arusha mtakumbuka jinsi ambavyo jiji la Arusha linavyozizima kipindi mkutano wa chama cha wanasheria Tanzania (TLS) na wakati uchaguzi wa rais wa TLS unaendelea pale kwenye kumbi za AICC. Miaka...
Habari wanajamvi, Ongereni kwa kazi za kila siku.
Binafsi umri wangu umesonga kidogo (50s) sasa. Kwa ufupi ni kwamba, nimejitahidi sana sana kuwa mwaminifu katika maisha yangu ya ndoa na sasa tuna watoto 4 (2 universities na 2 secondary schools) tunamshukuru Mungu sana sana. Hata hivyo na kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.