Mkuu hili usemalo nawezakubaliana nalo kwa kuwa nimeshawahi kusikia kuhusu mradi wa mabasi huko Cameroon pia kulikuwa nakifaa cha kurekodi ( it works as black box ) ila kila lililokuwa likiongewa na wananchi loliweza kufika kwa vyombo vya usalama na kuchujwaa mbaya zaidi taarifa hizo zilivuka...
Nashukuru kwa maelezo hayo nakumbuka nilishafanya hivyo pale kabuku nilisimama like 700m toka aloposimama traffic nikamueleza same to your words above hakuwa na lakusema
Kwanini tusiwe na Sheria ambayo itawabana wananchi wanaoacha kutumia kivuko cha (zebra) kwamba wanahatarisha maisha yao kwa kuvukia maeneo yasiyotengwa kwa ajili hiyo mfano kuna daraja la kuvukia ubungo, manzese na buguruni, sote mashahidi kwa jinsi inavyopelekea usumbufu kwa madereva. Ni wazo...
Pole kwa wasafiri wote kwa mashituko wa hiyo ajali, ki ukweli naungana na baadhi ya wasemaji wengine kuwa kuna baadhi ya polisi wa usalama husimamisha magari kwa lengo zuri la kuhakikisha usalama tatizo huwa hawatathimini je hapo wanapoyasimamisha pana nafasi ya kutosha kuruhusu magari mengine...
Hongera Dr. Kwa msimamo thabiti wa kutetea wananchi.. Kuna story nyingi tu kuhusu ubanaishaji wa So called Dr. Year.... Naendelea na nitaendelea kuunga mkono kazi yako tukufu.
Very true kuwa upinzani umetuletea Neema kwa kutupa Mh. Magufuli. Binafsi nampongeza eddo kwa kuleta upinzani na kuamsha utendaji wa serikali. Hongera watanzania
Nadhani ifahamike kuwa hata Kama. Utalipiwa 100% na mfadhili bado kuna pesa ambayo serikiali inatakakiwa kumlipa mtumishi huyo incidental ambayo Pia ni gharama.
QUOTE=Kokolo;13895649]Kwa mtu mpumbavu kama Lowasa uwezi, kujibu kwa wepesi hivyo, labda kwa nyumbu watakuelewa, Anasema wengine wako wapi idiot!!!, wangapi wanagombania urais si ni wewe tu, Mwizi ni mwizi tu tunataka mtu safi na siyo mwizi kama wewe.
Sio Lazima wawepo katika kugombea urais...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.