Nauza simu hizo hapo slightly used but in very good condition! Hazina scratch wala cracks...
Sony xperia Z3 for 700,000/=
Htc one M8 for 650,000/=
Negotiable....
Serious buyers pls PM
Habari wana JF,
Natafuta mbwa wawili kwa ajili ya ulinzi, wawe na umri kati ya miezi 3 - 5.
Breed: Pure German shepherd au cross breed ya German Shepherd na Labrador Retiever. Pia wasiwe product ya in-breeding (one family).
Kama unao please niPM, napatikana Dar es salaam.
Ahsanteni!
Any fan?
Marc Marquez has been overwhelming in this season. Got his 8th win in a row on Saturday at Iveco Daily TT Assen circuit. He's doing what VR46 used to do in late 90's and early 2000s!
Great performance Marc
Habari wana JF!?
Nimepata mbwa wa ulinzi ni cross breed na GS. Kidume cha miezi 3, nafikiri ni wakati muafaka nikapata trainer ili huyu mbwa akue ktk njia na namna ambayo mimi na familia tutaweza kummanage vizuri.
Kama kuna recommendations please send me PM.
Nauza Toyote Progres NC250
Colour: Silver
mileage: 112000km
YOM: 2001
Condition: Very good and running.
Maintenance: Done as per OEM
Nimelinunua 2011 na sasa naona ni wakati mzuri nikabadili gari
Bei: Tshs 7.5m
Serious buyer please PM!
Nauza BB Z10 Tsh 800,000/=. Serious buyer please PM.
Sababu ya kuuza ni kwamba nimeamua kubadilisha handset. Nimeitumia kwa miezi 3 tu.... ina box na kila ki2 chake.
Wanajamii mambo vp?
Niko Denver ningependa siku ya kesho Ijumaa nipate nafasi ya kuujua mji huu, kama kuna mtu yeyote kutoka bongo na anaweza kuwa na time ya kunisaidia kwenda sehem mbalimbali naomba aniPM ili nimpe mawasiliano yangu.
Thx wadau!
Habari wana JF,
Nauza gari Toyota Mark II GX110, 2003 Model.
Bei Tshs 17,000,000= (17million) negotiable kidogo.
Serious buyers only please PM!
Pictures attached....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.