Tunashuhudia viongozi wetu wa Afrika kukumbukwa mara baada ya kupoteza maisha, lakini kwa Chato imekuwa kama tofauti sana, Thomas Sankara leo kuna watu wanatamani kumzika upya, kwa sababu ya msingi katika kusimamia taifa lake.
Leo JPM hayupo tena duniani, lakini vizazi vinakuwa vitakuta hotuba...
Mh Rais leo yalikuwa maazimisho ya miaka 46 ya CCM, lakini mkoa wa Geita naona una nguvu kubwa sana , binafsi kwa upande wa upizani sioni wa kusimama na chama cha mapinduzi mkoa wa Geita, sina uhakika wa mikoa mingine
Lakini nafikiria kuna mwamba anakuja 2030, kanda ziwa unaweza ikatoa...
Evil does not pay, leo imebainika wazi CWT ni agent wa CCM, hata kama mlioteuliwa mmegoma kuapa ila mmeumiza watu sana na walimu wanaodhalilishwa kwa kufungishwa mikataba ya hovyo.
• Mh Rais huyu mama alisifiwa sana na JPM, hata kumteua tu umempa neshima sana, lakini ni miongoni mwa watu ambao...
.unapoweka mkataba wa kufaulisha wanafunzi kwa asilimia 70% au 80% bila kuzingatia mazingira ya mtoto anapoishi huo utakua an academic Plagiarism, serikali inapaswa kuchukua hatua dhidi ya matatizo waliyonayo wanafunzi, na wadau wa elimu wakiwamo wazazi na serikali si jambo la mwl pekee,
...
Hebu fikiria mama Samia alitoka wapi kwenye bunge la katiba? Tatizo la chadema wanataka kupewa katiba kwa hisani, kama mwl nyerere alivyoruhusu vyama vingi vya siasa,
Ccm ina asasi nyingi zilizosajiriwa kwa makundi mbalimbali kama vile vyama vya wakulima na vyama vya ushirika ,na ukisoma ilani...
Hivi unajua watu wanavyoliowa areas zao kwa mafungu? Yaani unatusababishia watu waanze kujihusisha na rushwa, unakuta kituo kimoja cha kazi mtu analipwa mapunjo ya mshahara wengine wanaachwa na wamepanda daraja mwaka mmoja na tarehe hiyohiyo, unajiuliza huyu alielipwa na wengine kuachwa ametumia...
Umekua wimbo sasa ,ruzuku ya mbolea, ruzuku ya mbolea, lakini kati kati ya mbolea na uhakika wa mvua kipi bora?
• Tanzania hatuvuni maji, maji mengi sana yanapotea, lakini hatuna uhakika na mvua au kilimo cha umwangiliaji alafu mtu anajitokeza anasema kilimo kwa sasa n tozo inenda kutatua...
Jamani hivi hii sheria ya kutoza fedha 60,000/- kwa mwaka kila nyumba ya kulala wageni mkoa wa Simiyu ni haki? Ofisi ya biashara tunatoa 10% kila mwezi bado tunalipa TRA 250,000/- ambayo ni makadilio ya hovyo sana. Leo tunaletewa zima moto 60,000/- kwa mwaka jamani, hii ni haki?
hapo ujalipa...
Binafsi sina chuki wala kinyongo, mh rais huku wananchi haswa wanawake hawakupendi na hawakutaki, maana maisha yao ni duni sana, hata kriniki kadi imekua hela, ila kama huamini endelea na mipango yako:
Usidhani wanawake wa Dodoma na Dar ndio wanawake pekee, yaani unavyosema kilimo cha mbolea...
Naomba wenye namba na masiliano makoa makuu Maboto Micro finance, atusaidie.
Tunaomba balance tuwalipe madeni yenu mkononi hamtaki mnataka kumshikiria mteja ili iweje, hamjui dunia ya leo ni soko huru la kukopeshana, taasisi ni nyingi na masharti nafuu, sasa unaombwa balance unasema balance...
•LISU AMESEMA WATUMISHI WALIONGOMBEA NA KUSITISHIWA MISHAHARA YAO,WATAREJESHEWA KAMA MAPUNJO YA MSHAHARA WA KAWAIDA,AMESEMA WATUMISHI WALILADHIMISHWA KUANDIKA BARUA ZA RIKIZO ZISIZO KUA NA MALIPO YA MIEZI MIWILI,
•LISU AMESEMA HUU NI WIZI KAMA WIZI MWINGINE,AMEHOJI MAMBO YAFUATAYO,:
JPM WAKATI...
Poleni watumishi mliogombea na kurudishwa kazini, poleni kwa makato ya mwezi mmoja kwenye mabenki mliokopa na serikali kutopeleka marejesho kwenye bank.
Hii ndio CCM, Chama cha Mapinduzi. Kiherehere chenu watumishi kugombea kimewaponza.
Kwanza poleni sana watia nia watumishi kwa kukosa mishahara miezi miwili mfululizo
Nimesikia mmepigiwa simu kutoka bank tofauti tofauti kurejesha marejesho ya mikopo yenu personaly bila kujali hamna mishahara au la, poleni sana, tena sana.
Maelekezo ya awali kabla ya 2015, ikikua kutangaza nia...
Licha ya kuwepo kwa zuio la watumishi kutolipwa mishahara kwa kutangaza nia ya kugombea kuna baadhi ya halmashauri kuwalinda wengine na kuendelea kufanya kazi kama kawaida licha ya katibu mkuu kutoa maelekezo ya kutolipwa miezi miwili huku wengine wakiombwa kuandika likizo ya miezi miwili.
Hoja...
Muhimu sana kujua mbinu za ushindi wa lisu na ccm kuwa na tahadhari nazo mapema sana,
•Kwa vyovyote vile mwaka huu hakuna uchaguzi maana najua hata kama lisu atashindwa kwa haki hatakubali na jpm akishindwa kwa halali hatakubali,mbinu ya lisu ni hii,
Wasimamizi wa lisu kuanzia majiji watakua...
Barua ya wazi kwa katibu mkuu CCM,
• Mh Katibu Mkuu kuna tetesi juu ya fedha ya fomu ya nafasi ya ubunge na fedha ya mchango wa matumizi ya ofisi kwa wanaochukua fomu,
• Inasemekana fomu ni 100,000 (laki moja)= ya ubunge lakini kuna fedha ya matumizi ya ofisi 1,000,000=milion moja, jumla gharama...
•Lissu kumbuka ktk harakati zako za siasa,ulijenga watu na vijana ambao uliwahimiza hivi,"ukitokea ubishi wowote kijana wa chadema uhakikishe kuwa hushindwi na ubishi huo unaouzungumza"kwa maana hakuna kukubali kushindwa kwa namna yoyote ile,
•Kwa bahati mbaya sana kanuni hiyo imekuwa mwiba...
Mh. Rais nakuomba ujiridhishe zaidi kabla ya wanafunzi kurudi chuo maana unaweza ukawa mtego mkubwa wa kukuchafulia sifa kubwa.
• Unaweza kutegwa na kuibua hasira za wazazi wenye watoto vyuoni ,angalia sna isije ikatokea kirusi kuibuka upya maana mstaafu amesharuka mtego, amesema wazi mwenyewe...
Salaam ziwafikie wadau na wapenzi wa siasa,mwanzo niliandika ili chadema ipone itake toba kwa slaa.
•Hoja yangu kubwa siyo kuchukia chadema ,hapana isipokuwa kushauri nini kilichofanyika chadema kuzimika na kuisha kama mshumaa.
•CHADEMA kulikuwa na sharp criticism against the...
Tanzania tumekuwa tukitumaini serikali yetu kwa kiwango cha juu sana,huku wengine wakituaminisha serikali inandimi mbili jambo hili limetukosesha imani sisi tunaomuunga mkono mh rais,nilimsikia mh rais akihutubia kuwa viongozi wamekuwa waongo na uzushi mtu kuwa covid 19,inakufa kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.