▶ Amejenga shule yenye thamani ya €270,000.
▶ Amejenga hospitali yenye thamani ya €530,000.
▶ Hupatia kila familia €70 kila mwezi.
▶ Hutoa nguo bure kwa watoto.
▶ Upatikanaji wa mtandao wa 4G kutokana na ushirikiano wake na Orange.
▶ Kituo cha mafuta kupitia Oryx Senegal hivi karibuni.
🇸🇳| Mwanaume Kama Sadio 🫡
Sadio Mané alikwenda kucheza mpira wa miguu kijijini kwao Bambali na marafiki zake wa utotoni.
Mvua hiyo haikuweza kumzuia nyota huyo wa Senegal kukumbuka enzi zake za soka za utotoni alipowasilisha pia kombe la AFCON kwa watu wa kijiji chake.
Nchi 10 za Afrika zenye akiba kubwa ya Dhahabu kwa mujibu wa Statistics
1. Algeria 🇩🇿 - tani 174 za kipimo
2. Afrika Kusini 🇿🇦 - tani 125 za metric
3. Libya 🇱🇾 - tani za metric 117
4. Misri 🇪🇬 - tani 80.73 za metric
5. Moroko 🇲🇦 - tani za metric 22.12
6. Nigeria 🇳🇬 - tani 21.37 za metric...
Nchi 10 zenye bei ghali zaidi ya umeme wa majumbani barani Afrika
1 Rwanda 🇷🇼: Kaya za Rwanda hulipa wastani wa $0.26 kwa kila saa ya kilowati ya umeme, hii itatafsiri kuwa $6.24 kwa siku na $194.44 kwa mwezi.
Cape Verde 🇨🇻 : Kilowati ya saa moja ya umeme itagharimu kaya moja huko Cape Verde...
History inaweza kujirudia kwa chama cha wananchi CUF, Tafiti zinaonesha mabadiliko makubwa yameanza kuonekana baada Kutangazwa katibu Mkuu mpya Mohammed masoud.
'Baba' yake na Obama ni kwamba alikuwa ni mmoja wa watu kadhaa waliotumiwa na CIA kwa ajili ya kusimamia mpango ambao utazuia siasa za ukomunisti kutoka China na Muungano wa Sovieti usiingie Kenya na Afrika Mashariki kwa ujumla.
Kennedy Foundation ilikuwa ikitoa pesa walizo ziita za ‘msaada’...
Kama kuna mtu anaweza kunisaidoa jinsi ya kupata bidhaa za supermarket saada, Nilikuwa nahitaji kuaanza hii biashara kwa kutafuta tenda katika supermarket. 0678 36 77 07
Alama ya nyundo na jembe kwenye bendera ya CCM ni ya kuwamaliza Wakulima. Nyundo inawagonga kichwani na jembe linawafukia kabisa.
Marais Wastaafu wanajengeana nyumba baada ya kugawana nyumba za serikali na kupeana benzi, wakulima wamesahaauliwa.
Mama yetu tafadhali sikia kilio cha Wakulima...
JAKAYA KIKWETE: TANZANIA IPO KWENYE MIKONO SALAMA
- Rais Mstaafu wa awamu ya 4 asema amepokea taarifa ya kifo cha Rais Magufuli kwa ugumu
- Asema, Rais Samia anayajua yaliyopangwa kufanyika miaka mitano ijayo, hivyo Tanzania ipo salama
UWANJA WA UHURU WASHINDWA KUWAMUDU WALIOJITOKEZA KUAGA
Waombolezaji waliujaza Uwanja tangu saa 3:30 asubuhi, waombolezaji wengine waliombwa wasubiri nje, wakihakikishiwa kuingia uwanjani kumuaga Dkt. Magufuli watu wengine wakipungua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.