Sawa mkuu ndo nafanya research kwanza ya eneo nililopo
Pia nimeanza kufuatilia hii biashara kwa muda kidogo
Naona ni wakat sahihi nijarbu bahati yangu
Nipo tayari kwa lolote tu saiv
Sawa mkuu ndo nafanya research kwanza ya eneo nililopo
Pia nimeanza kufuatilia hii biashara kwa muda kidogo
Naona ni wakat sahihi nijarbu bahati yangu
Nipo tayari kwa lolote tu saiv
Ndugu yangu anafanya hii biashara na amepata pesa ya kutosha kwenye gas
Anauwezo wa kuuza mitungi 100 kwa wiki
Nasikitika pombe inamrudisha nyuma hadi anapoteza mitungi na pea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.