Ni miaka miwili imepita bila yamatumaini wazee waliniambia nitafute mke niowe yyt ambae aliekuwa tayari kuishi na mimi bc tuwasiliane kwa cm no:0777 600127 awe Muislam endapo akiwa Mkristo akubali kubadili dini vigezo na masharti kuzingatiwa. Niko Z'bar by by.
Ni miaka 29 yakuzaliwa na nimuda muafaka wakupata mwenza wazee wamenipa fursa yakutafuta mchumba nimpendae lakini sijamuona natoa fursa hii kwenu wasomaji ambae aliyekuwa tayari tuwasiliane: masharti na vigezo kuzingatiwa. Awe na umri usiozidi miaka 25 , awe mrefu, mwembamba sibagui rangi wala...
Hali yenu . Mm ni mvulana nimebahatika kumpenda msicha kupita kiasi atachokitaka bc nampatia kila kitu endapo akanikosa basi huomba msamaha mm cha ajabu hufika wiki mbili huwa ananinunia naomba ushauri wenu nifanye nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.