Search results

  1. jabirj864

    Dondoo ya leo

    Ilazimishe nafsi yako kuwa na furaha hata kama moyoni una maumivu. Mambo mengine yanayokusibu jaribu kuyapuuza usiyape nafasi yakakutawala akilini. Moyo ni kiungo kidogo sana ambacho kina kazi kubwa mwilini mwako kazi ambayo hukufanya wewe uwe hai. Baada ya kupata matatizo kwa mfano kuwa na...
  2. jabirj864

    Dondoo ya leo

    KUNA MWALIMU MMOJA ALIINGIA DARASANI AKAANDIKA UBAONI KAMA IFUATAVYO: (1) 9+1=70 (2) 9+2=11 (3) 9+3=12 (4) 9+4=13 (5) 9+5=14 (6) 9+6=15 (7) 9+7=16 (8) 9+8=17 (9) 9+9=18 (10) 9+10=19 Alipomaliza kuandika tu, akaona wanafunzi wote walikua wanacheka, kwasababu alikua amekosea swali la kwanza...
  3. jabirj864

    Je, una tatizo la kukosa usingizi?

    Tatizo la kukosa usingizi (Insomnia - Sleep Disorder). Usingizi ni muhimu katika maisha ya mwanadamu kama ilivyo kula mlo kamili na kufanya mazoezi. Kukosa usingizi kunachangiwa na mabadiliko ya kimwili, kiakili, na kihisia. Kukosa usingizi kunaweza kuathiri afya kwa ujumla pamoja na ubora wa...
  4. jabirj864

    Fahamu umuhimu wa kutumia maji ya vuguvugu kiafya

    MAJI YA UVUGU VUGU TAFADHALI SAMBAZA KWA FAMILIA NA MARAFIKI, NI MUHIMU NA INAWEZA KUOKOA MAISHA YA MTU. Jopo la madaktari wa Kichina limethibitisha kwamba maji ya vuguvugu yana uhakika wa asilimia 100% katika kutatua matatizo kadha wa kadha ya kiafya kama vile: 1. Kipanda uso (Migraine) 2...
Back
Top Bottom