Ilazimishe nafsi yako kuwa na furaha hata kama moyoni una maumivu. Mambo mengine yanayokusibu jaribu kuyapuuza usiyape nafasi yakakutawala akilini. Moyo ni kiungo kidogo sana ambacho kina kazi kubwa mwilini mwako kazi ambayo hukufanya wewe uwe hai.
Baada ya kupata matatizo kwa mfano kuwa na...
Tatizo la kukosa usingizi (Insomnia - Sleep Disorder).
Usingizi ni muhimu katika maisha ya mwanadamu kama ilivyo kula mlo kamili na kufanya mazoezi.
Kukosa usingizi kunachangiwa na mabadiliko ya kimwili, kiakili, na kihisia.
Kukosa usingizi kunaweza kuathiri afya kwa ujumla pamoja na ubora wa...
JINSI YA KUONDOA CHUNUSI USONI KWA KWA HARAKA ZAIDI.
Na:Mr tibalishe
Chunusi ni vipele vinavyojitokeza katika ngozi hususan sehemu za usoni, kifuani na mgongoni kutokana na mafuta kushindwa kutoka kwenda nje ya mwili (juu ya ngozi ya nje). Huweza kutokea kwa mtu yeyote aliyepevuka kimwili...
MAJI YA UVUGU VUGU
TAFADHALI SAMBAZA KWA FAMILIA NA MARAFIKI, NI MUHIMU NA INAWEZA KUOKOA MAISHA YA MTU.
Jopo la madaktari wa Kichina limethibitisha kwamba maji ya vuguvugu yana uhakika wa asilimia 100% katika kutatua matatizo kadha wa kadha ya kiafya kama vile:
1. Kipanda uso (Migraine)
2...
NJIA TANO ZA ASILI ZA KUONDOKANA NA MIGUU KUWAKA MOTO
Huu ni ugonjwa unaowasumbua watu wengi sana na Mara nyingi humfamnya mtu mwenye tatizo hilo kushindwa kusinzia japo anahisi kusinzia.
MIGUU KUWAKA MOTO
ni ugonjwa unaotokea ambapo katika mwili wa binadamu kutakuwa na matatizo kama kudhoofika...
MAJANI YA MPERA NA FAIDA ZAKE MWILINI.
1. Chai ya majani ya mpera inaponyesha kifua nakikohozi.
2. Majani ya mpera yaliyosagwa vizuriyanatumika kutibu muwasho uliotokana na mzio(allergy).
3. Pia majani haya ya mpera yakichemshwakama chai yanaondoa cholesterol iliyozidimwilini.
4. Chai ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.