Kumbukeni huyu mtu ana ndugu na jamaa wa karibu ambao wanaomboleza kifo chake kwa uchungu hata kama machoni mwa wengi kinaonekana ni cha kijinga. Hivyo si busara kumhukumu humu. Vile vile hatujui exactly what happened.
Admin naomba utoe thread hii, inaumiza zaidi wapendwa wake kuliko...
In short huyo ni new Tambwe Hizza!
tofauti mwenzake alikuwa kwenye Propaganda=uongo, ila huyu ni katibu uenezi na itikadi sasa labda itikadi zao ni kueneza upotoshaji.
sio miguu, nafikiri anatumia masaburi kufikiri.
sishangai lakini maana fikra za wanandoa hufanana, so huo upotoshaji wa magamba umeingia kwenye vichwa vya wana ngangari baada ya ndoa yao...
Huu ni upungufu au ukosefu dhahiri wa akili, wanataka kutuambia yale waliyokuwa wanachangia bungeni wabunge wao sio maagizo ya chama chao? anyway kwanza walikuwa busy kuwapiga vijembe cdm hata hawakuchangia muswada, sasa wanaona aibu kupita mitaani ndio wanajidai nao kuunda kamati kumuona rais...
Kwa nini tunajivunia kwa kuipita Kenya? kwani ktk rank za economic growth Kenya ni namba ngapi?
yawezekana twajisifu kumpita mgonjwa mwenzetu kunywa uji?
Ningempongeza rais kama uchumi wetu ungekuwa walau 75% ya uchumi wa Africa Kusini by 2030.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.