Nimetumiwa ujumbe na mtendaji wa kata nifuate kibao cha namba za makazi niende na shilingi 5000 ya kulipia , ilipo nyumba nyingine mtendaji kanitumia meseji niende nikalipie 5500 , hivi, hivi vibao vya namba za anuani ya makazi vinalipiwa tena?
Serikali ya awamu ya sita jamaniiiii mbona hivyo...
Mkuu hawa ni matapeli nimeenda kuuliza Tanesco wanasema sio wao nenda TRA nimeenda TRA wanasema andika , nimeandika barua wanasema mpaka makao makuu huku wanaendelea kykata tena kila mwezi .
Hakuna cha errors wala nini inamaana majirani wangu wote wana hiyo errors wote wamekatwa hivyo, maana nimewauliza ,tena mmoja anamita nne kila mpangaji kamuwekea mita yake kote wamekata 10000+1000 =11000 hawana aibu .
Hivi hii kampuni kuanza kukata makato ya shilingi 10000 badala ya 1000 ya makato ya kodi ya majengo ina maana gani , maani ni tofauti na agizo la Serikali kuwa kodi ya italipwa majengo kwa makato ya shilingi 1000 kila mwezi kwa miezi kumi, sasa huu utaratibu wa kukata 10000 , na kila mwezi 1000...
Kijani kibichi umeyaona sasa, hili lichama ni janga kwa nchi hii, hata akishushwa malaika hawawezi maccm ni hatari sana , hayana huruma hayafai kabisaaa, sasa we mpambe wa mwendazake ndio unashtuka leo?;.
Ushauri kwa serikali usajili makanisa yote upitiwe upya, pili wachungaji wote wawe na digrii ya theology ,kila kanisa la kilokole lifunge sound proof , muona Kama utitiri wa makanisa uchwara ya kina Diana Bundala na Zumaridi yataonekana tena , Rwanda wamefanya hivi baada ya kuwakuta ya kuwakuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.