Dogo acha jazba! Kuna kitu kimeandikwa' mtazamo' kwenye hiyo topic sasa unapo jump kwenye conclusion unawanyima au unataka watu waowane na mtazamamo wako ' jadili hoja ,uliza usichokijua kuhusu hoja then utajibiwa,kama utahitaji iwe hivyo.watu huwa hawakurupuki dogo.kila kitu kitamwaga hapa...
Mtazamo ndugu wana jf hii mnaionaje gen davis mwamunyange abadilishiwe post badala ya kuwa mkuu wa majeshi awe mkuu wa posta tz? Kama alivyo fanya mwai kibaki pale kenya ? Kwanini? Mauaji mbeya kmya?,wanajeshi wa congo kuingia hadi kigoma bandarini kmya?,mapigano ya jkt tabora kmya?,mapigano ya...
Ni bora usalama wa nchi ukawa kapuni ili watz wengi wapate hauweni, kuliko ilivyo sasa dada zetu wanaongezeka kuj--za ili wajipatie basic needs, this is terbo bwana wa2 wanagombana na familia zao kisa maisha yako juu hela haitoshi wakt mafsad wana enjoi the ze butful land of tz!!uciangalie...
Acha story kila m2 anajua hiyo? We sema itapatikana vp?kwan 2nataka hzo Ak 47, 12 nako kazuri na kabazoka au ka rpg .acha uoga fidel castro alichukua inji akiwa kopolo sasa ata wewe? Wake up bro.
Huyu kv naye ni mgese mwingine na nadhani tokea apigwe chupa na mke wake akili azijakaa fresh kutokana na kuathirika ubongo na jicho sasa kama mko safi si mtoe ulinzi badala ya vitisho fu-k -g. Diandaeni kuwa exile.
Anawapelekesha wapi mgese tu ! Watu tulijua huu ndio wakati wa kuondoa magamba kwa maandamano ya umma yasiyo na kikomo kila mkoa sasa wamejidilute na kuomba kuonana na mkere 4 wat reason? Nenda front c2ko nyuma 2nakuja we fol u! Bastard.
mkweeee upo jombaaa.kufika salama utafika coz jamaa anaongoza kwa mabenzi mapya lakin na hako ka cophine amphetamine tunakaonaje???sasa tupeleke ulaji au 2peleke ushahidi!!! Kwana jamaa wanawatalaam au wataambiwa ni unga wa ngano kutoka nje.
Taarifa zinasema msafara wa makamu wa raisi dk gharib bilal,umepata ajari jijini dar leo baada ya gari iliyo kuwa ikiendeshwa na mama mmoja aliye kuwa akinywa maji ya dafu(nazi changa) kuuingilia ghafla na kumgöga trafik aliye kuwa anaendesha piki piki iliyo kuwa inaongoza msafara huo,mpaka muda...
Waboreshewe kwa lipo wacha wale p-m-u zao,wajinga hawa watu tunaandaa mabadiliko halaf wao wanatupiga mabom ya machozi na maji ya pil pil .ushauri labda waasi masi ndio tutawaunga mkono,mnaogopa nin nyie mbona jeshi jwtz lilihasi mwaka 1964 na dktt mwl akajificha siku mbili..!
Ama kweli kila mtu anajaribu kulinda maslahi yake, si nasikia Dar exp ndiyo kampuni pekee inayo ongoza kwa kusafirisha madawa ya kulevya sasa wanayoitetea wako upande upi?
Ahaaa..nilikuwa namfagiria sana lakini kwa sasa nipo radhi kumpinga haiwezekani watu mnasoma halafu hakuna opportnty ,et kuwa jiajiri how .je yeye aliweza kujiajiri pale alipo graduate? Shame on u! Watu tunadharaulika bila sababu hivi mnadhani degree ni ****** eheee,kwamba kila m2 anahaki ya...
Nilikuwa nasoma tu bila kuchangia sasa nimejiunga na jf kama memba na kutumia jina hili kwani hii nchi inahitaji ukombozi hasa dhidi ya mafisadi wanaolindwa na geshi
Wazo lako ni zuri mkuu,kwani hata libya ni hizo AK-47 ndizo zilizo pindua nchi,mi naamin watanzania tukizipata nadhan itakuwa poa kwan wakisema tusiandamane ili kupinga malipo ya dowans sisi tuna andamana na wakileta rorongo tu tunachapana risasi hapa watu wana maisha magumu halafu yeye...
Kama ni hivyo hata Nyerere hakuwa mzalendo kwanini asinge enda kutibiwa bugando ambapo ni karibu na butiama..?ila akakubali kwenda uingereza kutibiwa na kulingizia taifa hasara...!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.