Search results

  1. Soyuncu

    Je, kuna SOBER HOUSE kwa wavutaji wa SIGARA?

    Poleni na majukumu ya hapa na pale naomba niende moja kwa moja kwenye mada!.. Baba yangu ni mtumiaji mkubwa mno wa SIGARA. kwa Siku anamaliza ata pakiti 2.. Ni mraibu kweli kweli na SIGARA. Kiasi kwamba huwa anasema kama asipovuta Basi hata 2+2 hajui jibu nini. Shida inayokuja afya yake...
  2. Soyuncu

    Mwanamke anayekupenda hawezi kukupiga virungu

    1. Baby nina shida na elfu 50 2. Mpenzi kodi yangu inaisha 3. Honey gas yangu itakata muda si mrefu 4. Mume simu yangu kioo kinasumbua 5. My mama anaumwa! Nahitaji nauli kwenda kumuona 6. Luv bando langu linaisha.. 7. Husband nataka nikaoshe nywele salon 8. 9. 10. Najua wengi wetu tushawai...
  3. Soyuncu

    Ukweli Usemwe: Hakuna Mwanaume mwenye mpenzi mmoja. Bado sijaona

    Fact ni kwamba wanawake wapo wengi sana kuliko sisi wanaume hata ukifanya tafiti ndogo kwnye hospitali zetu watoto wa kike wanazaliwa wengi kuliko wa kiume. Ndio maana dini nyingine zimeamrisha. Mwanaume aoe mke zaid ya mmoja. Ila kivumbi kinakuja wanawake wenywe hawataki uke wenza ukianzisha...
  4. Soyuncu

    NACTE! elimu sio vita

    NACTE badilishen mifumo yenu ya matokeo elimu sio vita mkiwaiga TCU sio vibaya. Yaani diploma ya AFYA kama unachukua degree ukikaa vibaya utasoma Ata kwa miaka 7.. Ukitoka apo kwnye msoto uo uanze kuangaika tena kwnye mitiani ya kupata leseni kwa bodi husika... Awa jamaa Kila component uwe...
  5. Soyuncu

    Medical lab vs Biotechnology & Molecular Biology

    Hii battle ilikuepo sana miaka ya nyuma speech ya wazili wa afya juzi kaja kuliibua tena baada ya kusema taifa lina upungufu wa wataalam wa *biotechnology and laboratory science* (hawa wanatoka pale SUA kila mwaka) na wataalam wa molecular biology ( wanazalishwa pale UDSM) Raia wanadai wizala ya...
  6. Soyuncu

    Miaka 37 Vs miaka 24...

    Juzi hio ijumaa may 22. Kama kawaida yangu nipo addicted sana na mazoez.. Baada ya kukata wese asubui.. Jion kama kawa lazma nicheze mpila jion ( saa 10) Au kama nimebanwa sana bas huwa nakimbia road mishale ya Saa ( 1 mpka Saa 2 na nusu) nishamaliza program yangu.. Bas bwana may 22 io ijumaa...
  7. Soyuncu

    Kwa afya ya choo chako ... pitia hapa

    kama Unapokaa Au kwa rafiki zako Au jilani kuna ma sinki ya choo yaliyoshindikana kwa uchafu.. Kiboko yao ipo. Tafuta dawa inaitwa NEW HARPIC nais haizid elfu 13. Kutokana na location uliyopo.. Angalizo Usitumie bila ya gloves. Au kitu chochote kitakacholinda viganja vyako.. mwaga drop(...
  8. Soyuncu

    Mama yangu ni Bonge la mpambanaji

    Acha tu niseme bi mkubwa wangu ni bonge la fighter. Licha ya kazi anayofanya kua na maslahi madogo lakini mambo anayoyafanya ni makubwa. Mama yangu ni mwalimu wa shule ya msingi ila mungu kamjalia akili ya MAISHA.. Maisha ya walimu wa S/M wengi mnayajua ni mwendo wa madeni tu mwanzo mwisho Deni...
  9. Soyuncu

    Fitness

    Kaa ukijua kuongeza kg ni rahisi sana kuliko kupunguza hahaha yaani kupunguza sio poa. Kupunguza kg 2 tu mziki wake sio wa kitoto... Jiwekee tabia ya kufanya mazoezi japo dk 30 kwa siku. Magonjwa yasiyoyakuambukiza Ndio habari ya mjini now.. Kwa sababu mitindo ya maisha imebadilika sana...
  10. Soyuncu

    USHUHUDA: Miaka 3 bila ya kuugua

    Habari zenu wakuu polen na hii pandemic ya covid -19 hope mambo yanaenda poa. Leo nimekuja na ushuhuda wangu bwana ikiwa nina miaka 3 na miezi kadhaa bila ya kuugua au kuumwa.. Ugonjwa wowote ule... ( Alhamdulillah) Kama kumbukumbu zangu zilivyo kwenye diary yangu mara ya mwisho mimi kuumwa...
  11. Soyuncu

    Kwa waliosomea na wanaosomea ""KADA ZA AFYA"" t

    Habali wakuu natumai ni wazima wa afya huu Uzi unawausu kwa wanaosomea na waliosomea mambo ya afya (certificate ,diploma ,bachelor , masters. N.k ) tupeane dondoo kidogo... 1. Ni kitu Gani kimekuvutia kusomea Icho ulichosomea kwenye afya? 2. Je unawaambia nin Au unawashauli nin vijana...
Back
Top Bottom