Si judge sana uwezo wako wa kugegeda na amin uko vizuli. Ila kilichokufelisha APA!.. kwa huyu mchepuko ni TIME..
yes muda pesa Sio kila kitu!.. Mchepuko alihitaj muda pia wa kua na ww!. Huenda alikukubal Mno ila kuna kipind anaitaj kua na ww time ambayo ww upo kwa mkeo!..
#time [emoji799]
Eeeh sio poa njaa inakamata mno.. Sometimes nikiwa na game lodge naingia na misos yangu + chupa la maji!..
Maana hamu ya kuendelea unayo Ila njaa inaleta shida
Binafsi nafanya mazoez ili niwe na muonekano mzuli nivae nguo ninayoitaka sio niliyoikuta na kulinda afya..
Hayo mambo ya kufikishana kileleni unayajua ww though nina pumzi mno kwny mambo yale.. Kinachonisumbuaga ni njaa tu ila sio kuchoka..
Wake za watu wanaongoza kwa kuhonga!.. Mpelekee moto mkeo narudia tena muandae fresh ( 15-20 min) then mpelekee moto[emoji91][emoji91] mkeo..
La sivyo mnakuja kutupa shida sis ma bachelor..acha watuhonge tu..
Ondoa KITAMBI na minyamaa UZEMBE uokoe ndoa yako... Over man down..
Poleni na majukumu ya hapa na pale naomba niende moja kwa moja kwenye mada!.. Baba yangu ni mtumiaji mkubwa mno wa SIGARA. kwa Siku anamaliza ata pakiti 2.. Ni mraibu kweli kweli na SIGARA. Kiasi kwamba huwa anasema kama asipovuta Basi hata 2+2 hajui jibu nini.
Shida inayokuja afya yake...
Ukioa single mother ni sawa umeoa mke wa mtu kuna demu flan iv ana watoto wa 3 na kila mtoto na baba yake.. Sasa ukioa single mother kama huyu si umeoa mke wa watu... [emoji23][emoji23][emoji23]
Mbusus wataila tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.