Kuna mtu alituma mzigo mkoa X wenye thamani ya 3.5 kwenye basi na yeye alikuwa mkoa X bahati mbaya akafariki na hakuna mtu anaejua gari gani alisafirishia huo mzigo vipi kuna uwezekano wa kuupata huo mzigo tena
Namaanisha tukaenda ofisini kuutafuta tukaulizia magari yanayoenda mkoa huo na...
Najisikia vibaya sana aliekuwa mchumba wangu amepata ajari mbaya sana na kwa bahatii mbaya amefariki.
Ajali ya pikipiki yeye pamoja na mdogo wake, mdogo ake hajitambuii [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Wanawake wazuri malaya, wanawake wote wanatoa nje, wanawake wana wanaume zaidi ya mmoja.
Msichokijua ni kuwa kila mtu ameumbwa kwa namna yake Kama huyo wako alikucheat usijumlishe na wengine.
Mnawakatisha wanaume wenzenu wasiwachukulie seriously wapenzi wao kwasababu yenu.
Nakupa siri moja...
Nipeni range ya kutoa posa na mahali huwa vinachukua muda gani wapendwa.[emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani ukitoa posa unakaa muda gani ndio utoe na mahari?
Kuna hiyo series ya kituruki ninahiitaji mno…. Nimeitafuta bila mafanikio sijapata access ya kui download
Sitaki kuiangalia YouTube
Mwenye nayo yote naombaa ama nielekeze nitaipata vipi
Na wale wenye kujua apps za ku download series za kituruki tuambiane
Wapendwa, nauliza tu sio kwa ubaya kwani siku hizi wanaume wote mna watoto
Yaani tangu nianze mahusiano seriously namaanisha ya Kiutu uzima natongozwa na wanaume wenye watoto
Nina ex wawili ambao wote wana watoto tena wawili wawili. Unakuta kijana ana miaka27 tayari ashazalisha mabinti wawili…...
Hivi mtu mpaka anauliza hili swali huwa anawaza kitu gani haswa?? Yaani umekaa ukafikiria ukaja kuuliza swali ambalo majibu yake unayo
Mwanamke ana mengi ya kutoa kuliko hata wewe mwanaume… kwanza waulizaji wengi humu ni single( hawajaoa).. waliooa wanajua nini wanapata kwa wake zao zaidi ya...
Kusema ule ukweli kuachana na mtu ni kazi sana maana itakuchukua muda kumpata mwingine ambae atakupa Furaha na amani
Mwaka 2021 niliachwa muacho safi kabisa yule jamaa aliniandikia sms moja tu
“ Ukikua utajua namna ya kuzungumza na mwanaume sasa hivi utoto unakusumbua”
Ni katika mahusiano...
Anasema ikitokea tumeoana hatutoboi miaka 5…. Namnukuu “ Mkitoboa miaka 5 niko pale uniite mbwa”
Ni kaka yangu mtoto wa mama yangu mdogo alielelewa nyumbani kwetu… yeye tayari ana familia yake mke na watoto yuko under 30 .. Ni kaka ambaye tumekuwa tukishirikishana mambo ya mahusiano yetu mpk...
Anasema ikitokea tumeoana hatutoboi miaka 5. Namnukuu “ Mkitoboa miaka 5 niko pale uniite mbwa”
Ni kaka yangu mtoto wa mama yangu mdogo alielelewa nyumbani kwetu… yeye tayari ana familia yake mke na watoto yuko under 30 .. Ni kaka ambaye tumekuwa tukishirikishana mambo ya mahusiano yetu mpk...
Anasema ikitokea tumeoana hatutoboi miaka 5…. Namnukuu “ Mkitoboa miaka 5 niko pale uniite mbwa”
Ni kaka yangu mtoto wa mama yangu mdogo alielelewa nyumbani kwetu… yeye tayari ana familia yake mke na watoto yuko under 30 .. Ni kaka ambaye tumekuwa tukishirikishana mambo ya mahusiano yetu mpk...
Mpaka hapa nilipofikia nimeamua niwape maua wanaume wote duniani
Yaani kila unapogusa pawe pa urafiki wenzangu wanataka utamu tu…
Halafu nilichogundua ni kuwa hizi charting charting na kwa WhatsApp zinatengeneza kakitu fulani kwa wanaume wanajuaga ni kama mwanamke anamtaka
Kuna wengine...
Sijakosea ndio nilichomaanishaa
Wanaume wa nyakati hizi hamjiamini muda wote munawaza usaliti usaliti usaliti usaliti
Kila nyuzi humu ni kuhusu usaliti
Hivi inakuaje unamuwazia mwenzio kukusaliti…
Nyuzi za kuchapiwa tu za kuhisi mara ooh mliooa wanawake wafanyakazi wanaliwa na maboss...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.