Habarini?
Naomba kuuliza utofauti wa aina hizo mbili za injini linapokuja suala la uvumilivu, spea, matumizi ya mafuta, speed na gharama zake (bei) ya kununua complete used lakini inayo jielewa. Na kipi bora kuifungia mfumo wa carburetor au injection. Wataalamu na mafundi msaada wenu kwa hili...
Vitu Used (ila kwa hali nzuri karibia na upya) vinauzwa!!!!!
Mahali: Shinyanga Mjini
Sababu ya kuuza: Nahama Mkoa
1/Dressing table (inahitaji kioo, rangi na vitasa)-mbao
2/Pasi ya umeme (Phillips).
3/Meza ya Tv - mchina ngazi 3
4/Shoes rack (stendi ya viatu pea 12)-mbao
5/Trey la kuwekea vyombo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.