Nakushauri tembelea sites au camp za kampuni zilizoshika tenda za ujenzi wa barabara, hauwezi kosa kazi.
Kuna baadhi ya kampuni huwa wanatafuta sana ma OP.
Kuna kampuni inaitwa inaitwa SPECIALIZED ina ma lorry zaidi ya 1,000 yanabeba makaa ya mawe kutoka Mkoa wa Ruvuma...
.
Naskia kashusha kashusha Gari nyingine 500 bandarini...
.
Watu wana pesa aisee.
Tumia What'sApp groups na What'sApp Status utakuja nishukuru...
.
Hapa unatakiwa uwe na contacts nyingi What'sApp usave...Unazipata vp hizi contacts?...
.
Unazipata Facebook, Instagram na kwenye What'sApp groups...
.
Kikubwa jifunze Copywriting tu.
Kuna mrembo mmoja ivi bhana jana nilimualika Dinner/Chakula cha jioni na nilipika haswaa Pongezi kwa YouTube mana nilipata maujanja ya jikoni kule...
.
Sasa bhana muda wa Dinner namcheki akagoma Kuja nikamuuliza nini shida eti ooh naogopa macho ya watu...
.
Nikaona huyu ng'ombe hanijuuui(by...
Moja ya vitu nilivyokataa kwenye maisha yangu ni kusubili msaada wa mtu...
.
Nachukia sana hasa napoona Kijana yupo yupo tu hafanyi chochote ili kuibadili hali ya maisha yake yupo tu anasubili ahadi alizoahidiwa na ndugu kuwa watamsaidia...
.
Ila ndo ivyo tena watu washazoea kuishi kwa misaada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.