mwambie msimamo wako ulivyo kuhusu kuilea hiyo mimba na kamwe asifkirie kuitoa.akiitoa dhambi hiyo iwe juu yake na itakiwa mwisho wa mahusiano yenu.full stoop.hapo akiitoa hauhusiki.
me wanaoniudhi ni wale wanaoanza kusalimiana kwenye thread za wenzao.mtu ametoa mada flani au jumbe ya kuomba ushauri badala ya watu kushauri eti wanaanza kusalimiana.kwani huwezi ku pm huyo mtu unaetaka kumsalimia au kumwambia ulikuwa/utakuwa wapi week end.Tena wengi utakuta ni member wa siku...
hao jammaa hawako serious hata kidogo.mbona waislamu wanafanya mitihani siki ya ijumaa? wakristo wengine hufanya mitihani hadi jumapili kwa baadhi ya vyuo.hapo ni suala la kuwa LOGICAL tuuu
kwani kabla ya kuolewa naye ulikuwa hujui kuwa ni golikipa? ulitafuta.ushauri? .au kwanini hukukataa kuolewa naye.sasa.tukushauri nini.Ndo uamuzi liofanya.ulikubali kutake risk for him. Komaa naye.hatuna cha kukushauri hapo.mfungulie biashara afanye muendelee na maisha
Hiyo sababu ndo ameiona baada ya miaka 2? kwa nini muda wote huo asimpige chini mpaka miaka 2 ndo anataka kufanya huo uamuzi.Mwambie aache kuchezea maisha ya mtu.Kwanini asimshauri huyo mdada apatane na mama yake kama ameweza kuvumilia kwa miaka yote hiyo?
Huyo mpenzi wako si mwaminifu.Kama aliweza kufanya mapenz na mwingine kisa alihitaji pesa then hata ukishamweka ndani siku hela zikipungua kwako atafanya tena.si mwaminifu na si mvumilivu.Achana naye,kama uko serious.
Hakuna Kambi ya wakimbizi ktk nchi ya senegal.Me nlishawahi kukutana na email ya aina hiyo ikanibidi nifuatilie kwenye neti kama kuna kambi ya wakimbizi Senegal sikupata. we mwambie mbona hakuna kambi ya wakimbizi ktkt nchi ya senegal hatakisumbua tena.Ni wezi tu hao
sidhani kama ni mapenzi ya dhati.Haiwezekani.Kuna kitu tu huyo kijana ametargeti kwa huyo bibi.Vijana tujishughulishe tuache kupenda mambo ya mitelemko.Tutakula kwa jasho jamani
Basi lina konda.konda kaja jamaa anakomaa tu.Duuuuh.kuna watu wengjne wana confidence za ajabu.Hawa wanaweza hata kukusimamisha na Gari au baiskeli yako na kusema ni ya kwao
nimepanda gari la Ngorika kwenda Moshi.nimeamua kumwachia aliyekaa kwenye siti yangu na kumtoa yule aliyekaa siti nyingine nq kuacha siti yake nyuma. Watu wanakera asubuhi tu wanataka tuanze kugombana kwa vitu vidogo tuu
Utakuta mtu umepanda gari la mikoani,umekata tiketiya dirishani siku mbili kabla ya safari. Kuingia kwa basi unakuta siti yako amekalia mwingine,unajaribu kumwambia kistaarabu mtu anakomaa kwamba ni yake mpaka anaamua kunyamaza ili usimsumbue.
Pia unakuta upande wote wa siti umejaa,unaanza...
we ndo muamuzi wa mwisho coz unamjua.jinsi alivyo. ila kuwa makini sana.wengi wao wapo.kiuchumi na Good life. Anaweza kukutema na kwenda kwa mtu mwenye uwezo kuliko wewe.Wanapenda sana kuangalia Uchumi wako unaendaje.nshawahi kuwa ns mmoja wao.sahivi kaolewa na mhasibu flan.Alisepa ghafla...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.