Search results

  1. prakatatumba

    The Law School of Tanzania: Maoni, Ushauri, Dukuduku

    Can you share your experience on how you managed?
  2. prakatatumba

    Huduma za Meli za Mizigo katika Bandari ya Kyela

    Huduma za Meli za Mizigo katika Bandari ya Kyela kuanza katika Ziwa Nyasa hivi karibuni. Kwa Maelezo zaidi Tafadhali wasiliana na ofisi za TPA kwa namba za simu +255 (692) 114498 na (715) 212618; Baruapepe: ; ; ; au tuma barua kwa Mkuu wa Bandari, S.L.P. 400 Itungi, Kyela. SOURCE: Ports Latest...
  3. prakatatumba

    Ni jinsi gani naweza kuongeza sperm motility

    Nashukuru wadau kwa michango yenu nimeenda kupima nimeambiwa motility ipo progressive na sperm zinaswim kwa speed inayotakiwa na nzuri, nilichofanya ni mazoez ya kukimbia pia vyakula na matunda vitamin C na B12. Mbarikiweeeee
  4. prakatatumba

    Ni jinsi gani naweza kuongeza sperm motility

    nina mwaka toka niache, hata hivyo kipind cha nyuma ilikuwa mara moja kwa wiki
  5. prakatatumba

    Ni jinsi gani naweza kuongeza sperm motility

    s nina mwaka toka niache, hata hivyo kipind cha nyuma ilikuwa mara moja kwa wiki
  6. prakatatumba

    Ni jinsi gani naweza kuongeza sperm motility

    sijajua tatizo la kuzaliwa nalo au vipi, maana dokta hakuniueleza sana
  7. prakatatumba

    Ni jinsi gani naweza kuongeza sperm motility

    Nashukuru sana wadau kwa mawazo yenu ila msichanganye kati ya sperm count na sperm motility, mimi sperm count ni 60 million ila motility inaonyesha 50% kwa 50%
  8. prakatatumba

    Ni jinsi gani naweza kuongeza sperm motility

    Wakuu wenye utaalamu na ufahamu, ni jinsi gani naweza kuongeza sperm motility maana nimepata majibu kwamba ni 50/50. Vipimo vinginr vyote vipo vizuri N.B Naomba kueleweshwa zaidi katika suala la motility, jinsi gani naweza kuongeza UPDATEEEEEE Nashukuru wadau kwa michango yenu nimeenda...
  9. prakatatumba

    Gari ndogo inatakiwa

    bei 11,000,000, aina ya gari Carina T.I, rangi nyeupe, cc1490, mileage 72,000, fuel Petrol
  10. prakatatumba

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Nashukuru mkuu ni gari ndogo Carina T.i, inawezekana kweli brake maana nilizibadilisha hata wk mbl hazina zinatoa hissing sound
  11. prakatatumba

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    gari yangu ni automatic nikibadilisha gear kutoka P kwenda R au D inakuwa inashtuka, kwenye dashboard hamna taa yoyote ya hatari inayowaka, je tatizo itakuwa ni nini?
  12. prakatatumba

    Gari linatoa moshi, msaada wa kiufundi unahitajika

    Gari yangu asubuhi nikiiwasha inatoa moshi mweupe halafu baada ya muda unakata wenyewe,
  13. prakatatumba

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Upo wapi? Kama upo Dar nenda kidonge chekundu au gerezani Kariakoo utapata fastaa, au maendeo ya Karume complex kwa nyuma
  14. prakatatumba

    Vacancy UN

    Hahahaha survivor for the fittest
  15. prakatatumba

    JWTZ lina kitega uchumi gani kwa manufaa ya nchi?

    jwtz ndani yake ina vitengo tofauti tofauti, kuna jkt, navy, infantry, air force. JKT ndiyo wana vitega uchumi kama SUMAJKT, jkt hufanya kama ujenzi, kuuza vifaa vya ujenzi, kilimo, ufugaji, n.k. Askari wote ukiacha wa kujitolea wapo chini ya jwtz, askari wa kujitolea wapo chini ya jkt kwa...
  16. prakatatumba

    Vacancy UN

    kuna mtanzania yeyote ambaye ameitwa kwenye usaili wa hii nafasi?
  17. prakatatumba

    MBEYA pazuri club

    huduma ya dada pendwa ipo?
Back
Top Bottom