Hii ni video ya mwaka 2017 nadhani ilishapita mijadala yake haina haja tena kuirudia watu wanaoendelea kuirusha wana nia ya kujenga chuki na kutia doa umoja wetu katika Muungano na kutaka kutonesha jeraha ambalo limeshapita katika Imani za dini zetu.
Mbona sasa mnatuchanganya tuliambiwa JK na ENL 1995 walikuwa na lengo moja la kuunda team ya kushinda Urais, sasa imekuwaje Lowassa awe na kinyongo Jina lake kutofika CC wakati swahiba wake alifika hadi tatu bora za 1995.
Mwaka 1985 wakati mwalimu nyerere anang'atuka madarakani na kuingia mzee Mwinyi malecela hakuwa na nguvu hiyo unayoisema na nafasi ya Waziri mkuu aliipata ndugu warioba.
Usisahau kama Mwinyi amekuja na mfumo wa kubana matumizi yasiyo ya lazima ya Serikali na kubana mianya ya uvujaji wa mapato kwa kukusanya kodi na tozo kwa mifumo ya kielkroniki, aidha Rais Mwinyi amekuwa Rais mwenye mawazo mapya kuliko watangulizi wake ameamua kuvikodisha visiwa ambavyo kwa...
Miaka ya hamsini hadi 70's sigara ilikuwa fashion hasa kwa viongozi wasomi wa walati huo nakumbuka hata Rais wa awamu ya Pili ya Zanzibar sheikh Aboud Jumbe alikuwa anavuta sigara tena hadharani kabisa
Kitu gani ambacho Mama Samia amekifanya ambacho kinaonesha dalili za kuipa Zanzibar mamlaka kamili.
.? ni ziara zake za mapumziko huko Zanzibar...? Kama ni hilo hata mwendazake alikuwa anatumia muda wa mapumziko kwenda Chato na hatukuwahi kusikia chato inataka kuwa Jamhuri ndani ya nchi yetu, au...
Kwa hiyo bora Mwinyi kuliko Samia...? Unayaona yanayoendelea Zanzibar kuna lipi la kujifunza..? Zanzibar kwa sasa imepoteza dira kuliko awamu yeyote iliyopita.
Imemshinda Zanzibar yenye wakaazi Mil moja atawezaje Jamhuri ya Muungano , tusihadaike na majina ya watoto wa viongizi wengine hawana uwezo wala maono ya uongozi
Zanzibar ilijivua mamlaka yake kama nchi huru kwa ajili ya kuunda taifa jipya la Tanzania, sasa inapotokea kuwepo kwa mgao kama huo wa fedha za mkopo tusisahau pia wenzetu Zanzibar waliacha sovereignty yao kwa ajili ya muungano huu kwa hiyo tuwe na kuvumuliana ili taifa letu lisonge mbele, hata...
Unaposema chama kinamfunga miguu sikubaliani nawe kwani kuna maamuzi ya uendeshaji Serikali hayahitaji vikao vya chama, tatizo ninaloliona Urais wa Dr Mwinyi umezongwa na washauri wengi kila mmoja anamvuta rais katika muongozo wake matokeo yake anapoteza dira na kutojua jambo la kufanya, mfano...
Kwa tathmini ya haraka inaonesha kuwa Rais Hussein Mwinyi hakuwa amejiandaa kuwa Rais wa Zanzibar,hakuwa na ajenda juu ya nini anakusudia kukifanya katika kuiongoza Zanzibar zaidi ya kutegemea mbeleko ya Rais magufuli, kutoijua kwake Zanzibar na watu wake kwa kiasi kikubwa kunamfanya kuonekana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.