Search results

  1. K

    Kila nikimnyonya naishia kutapika, kumuacha siwezi sijui nifanyeje!

    Mwambie kabla ya kumkanyaga aipige mswaki kutumia dawa inayoitwa ''mbilizioloji''
  2. K

    Ingekuwa gari ungeliita jina gani??

    ningeliita FB WHEEL BARROWA
  3. K

    Alaaniwe huyu bosi

    Anaitwa peniel mgonja,yupo immigration.
  4. K

    Tutapona kwa Maradhi jamani?

    doooo! dawa ni kutumia kinga ndo tuweze kupona,lakini mipaja hiyo inatisha sijui ndo unaliinamisha ni balaa tupu,na likute mtu anayejua kusugua lazima linywe ndoo ya maji.
  5. K

    Uhamiaji kwa kufukuta,rais atakiwa kumuondoa mgonja na kuteuwa makamishna kujaza nafa

    labda niwape historia fupi wana JF kuhusu huyu mgonja aka mgonjwa,huyu alikuwa ni afisa sheria wa idara ya uhamiaji,ni mwanasheria by proffessional,lakini kuna tetesi kwamba alikuwa ni chakula cha mkurugenzi wa uhamiaji aliyemaliza muda wake bw.kihomano,na hizi tetesi uenda ni za kweli kwasababu...
  6. K

    Elections 2010 Kikwete Live on Power Breakfast (Clouds FM)

    mbona aongelei suala la mafisadi? uongo mtupu.
  7. K

    Elections 2010 Kikwete Live on Power Breakfast (Clouds FM)

    mbona sioni jipya kwenye mazungumzo yake?
  8. K

    Kwa wanaofuatilia muvi za Kibongo.

    wanaganga njaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
  9. K

    Jidulamabambasi is no more!

    poleni sana wafiwa mungu amlaze pema peponi.
  10. K

    Ni kweli ndoa ya Clouds Fm na CCM ishafungwa?

    mimi binafsi mpaka leo uwa sijui hii redio clouds uwa ni ya nani,yaani wafanyakazi uwa wanajilopokea wanavyoona wao hawana ethics za kiutangazaji.sina uhakika kama wana training yeyote kwa kazi wanayoifanya.kuna wakati wanatamka maneno kama watoto wako karibu unazima redio.maneno machafu bila...
  11. K

    Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

    si angelikubali kuinama kuliko kupoteza mkono!!!ukipenda kula vya watu lazima ukubali na vyako viliwe.
  12. K

    Waziri apiga marufuku vimini au tight maofisini!

    sasa hii nikuingilia uhuru wa watu wa mavazi,acha watu wajionee usafiri,kama mtu ana fito aendelee kuvaa hijabu,hiyo sheria ilishapitwa na wakati ndio maana mawaziri waliopita wakaamua kuachana nayo,mbona makanisani watu wanatinga vimini na ibada zinaendelea kama kawaida,mimi naona waziri...
  13. K

    Eti ni kweli wabongo tunanuka midomo?

    what is the source? is it udaku or researched?be specific please.
  14. K

    ~ Kikwete na Simba wake wa Kuchora! ~

    mzee mwanakijiji umegusia mambo mengi ambayo kwakweli yameibua hisia zangu nyingi na kwa wengine waliyo soma thread hii pia.leo kwenye gazeti la tanzania Daima lime-report kwamba kuna hakimu aliyetajwa kwa jina la jamila nzoa,alitiwa mbaroni na PCCB wakati akiwa mbioni kwenda kupokea...
  15. K

    Hoyce Temu na Wabaguzi Mamboleo!

    mzee mwanakijiji anauliza ninani ameishawahi kutongoza binti wa kihindi akakataliwa,kwanza utamuona wapi,muda wote wamefungiwa getini,na akijaribu kukubali familia itamtenga.achana na wale wanaojiuza Q BAR,Bilicanas nk.hao ni wahindi-koko.siyo siri wahindi ni wabaguzi,ebu waulize dada zetu...
  16. K

    Dereva amlipua risasi mwenzake wakigombea abiria

    Nilitaka kujua je hiyo silaha anaimiliki kihalali? Nafikiri kuwepo na sheria maalum kwamba kabla mtu hajamilikishwa silaha, akapimwe akili kama hana kasoro, kwani ukiangalia issue kama hii ni kasoro ya akili.
  17. K

    Chadema na yatakayojiri wiki hii

    kwa mara ya mwisho walitutamkia kwamba wataitisha maandamano ya nchi nzima nasi tuwaunge mkono,kitu ambacho tumekuwa tunasubiri.mambo ya kelele bila vitendo yametuchosha,ni sawasawa na mbwa hasiye na meno anabweka weeee matokeo yake watu wanajichukulia kama kawaida.hata waparestina baada ya...
  18. K

    Makamba: Msinihukumu kwa mabaya, I love you

    hapo ndio utaamini kwamba CCM ni wasanii si mchezo,huyu ni msanii namba mbili.anashindwa kuwaeleza wapiga kura wake amefanya mambo gani ya maendeleo,anakazania kuwagalagaza wapinzani,je hiyo ndiyo sera ya maisha bora kwa kila mtanzania?
Back
Top Bottom