Mada tajwa yahusika
Natafuta mwenza
Wasifu wangu
Siku miingi nshamalizana na Elimu ya(wao wanaita ya juu)chuo
Nimewahi kuajiriwa...nikaamua kukiajiri
Sina mtoto Wala sijawahi kuwa na mke
Ni mkristo (MKATOLIKI)
Shughuli zangu kubwa kilimo
Nb.Nawapenda na kuwaheshimu wanawake wote,lakini...
Mkuu ma vyeo ya kipolisi siyajui...ila nilisikia wanasema Ni kamishina jeneral sijui upupu gani
Nilipelekwa mahakama ya mwanzo,nkasomewa shitaka nkaambiwa nakubali au nakataa nkakataa
Ikaamriwa nirudishwe mahakami wiki moja baadae Tena...nilipata dhamana
Ile kenge general haikutokea...
Umenicheoesha...sijui Sasa....lakini bagamoyo road....hasa kuanzia maeneo ya tegeta nyuki kwenda Hadi Boko huko,usalama Ni mdogo Sana usiku...nilikimbizwa na vibaka saa nne usiku ,nkakimbilia kwa Masai walinzi wa hardware zile kubwa....ooh jamaa wakali hatari...kidogo wanichenjie...wakanifukuza...
Duh Mkuu pole Sana...tusamehe...jamaa yangu alimjaza boss wa kampuni moja kubwa Kama referee kwenye kampuni X tuliyokua tunafanyia kazi
Asee alimchafulia...line manager wetu alikua mtu poa Sana ...kamwita jamaa kamwmbia referee wako kakuharibia...Basi na report ilishafika kwa mzungu
Ajabu...
Ingependeza ungeweka njia za kumsaidia mama)mtoto ambaye kaathirika tayari na unywaji pombe
Vipi wale wanaowapa watoto wachanga pombe Kali kutibu tumbo hasa la kujinyonganyonga
Sent using Jamii Forums mobile app
Wasalaam
Imani yangu inanifundisha kusamehe yote, najitahidi kufanya hivyo lakini hili nimepata ugumu japo kusahau siwezi
Muda kidogo umepita, tulikuwa tunacheki mpira maeneo Fulani classic kiaina, hamna amsha amsha za vibanda umiza.
Hapa na hapa timu nayoishabikia ikashinda...Mara jombaa...
Loh nilijua watu wa Pwani wanajitahidi kwa usafi
Hilo kabila...hata ukienda kuomba kuingia haja ndogo...wanakwambia nenda bafuni loh[emoji3]
Kama Ni kuoga ...Bora usubiri night kali uoge nje Kama unaoga dawa za mganga,au uoge maporini.... vinginevyo unachukua uchafu mwingine
Sent using Jamii...
Kabisa Mkuu, ulifanya jambo jema
Na wakati mwingine Kuna Jambo unamuomba Sana Mungu. Kumbe Mungu Anataka yule mtu awe mikono ya wewe kupata hilo jambo, sasa unakosa busara unamfukuzia mbali.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.